• Instagram
  • Twitter
  • Facebook
  • Google+
  • RSS Feed

Thursday, August 30, 2012




Rick Ross - Diced Pineapples (Feat. Wale & Drake)

Powered by mp3skull.com
Powered by allstartz.blogspot.com
Fuse ODG is a Ghanaian musician based in the UK[1], best known for the song Azonto, based on the Afrobeats dance craze Azonto Dance.[2] He is the first UK artist/producer to be nominated under two different categories for the Ghana Music Awards.[3][4][5] Fuse is most known for his involvement in the production of genres such as Afro-pop, hip-hop, r&b, funk and rock. He is from the ‘Off Da Ground’ family hence his surname ODG. He became known for his energetic performances and his original and creative conceptual songs Such As Umbilical Chord, Bucket Full Of Sunshine & RWANDA. He has also taken more evident interest in The "Afro-pop" Industry where he has gained a lot of Recognition with his smash hit single "Azonto" featuring Ghanaian artist Tiffany which was Produced by Killbeatz. The YouTube video teaching the Azonto dance moves shot up to over 1 million views[2], taking the afro-pop scene by storm and officially placing Fuse ODG as The Pioneer of UK Afro-pop Music. He also met David Cameron and gave him an Azonto t-shirt.
Nigerian pop star, D’ banj must be full of smiles now especially as his exploits in the U.K seems to be paying off.
His Oliver Twist single was recently featured in the new ad for the ‘Mr Moon’campaign of the popular rum drink, Malibu Black. The track was featured based on its growing acceptance within the UK community and its theme.
The monetary details were not made public but would definitely have caused a smile on the pop star’s face, as well as the producer of the song, Don Jazzy.


Psquare and Bez lead the list with six nominations
As another edition of one of the most prestigious music awards in Nigeria, The Headies draws nearer, the nominees for this year’s awards have been revealed!
Pop giants Psquare, Soul-Jazz singer Bez Idakula lead the nominees list with six nods each.
The twin pop duo released their fifth album last year with the smash hit singles ‘Chop my money’ and ‘Beautiful Onyinye’ both garnering international remixes from US acts Akon and Rick Ross respectively. They received nods in the ‘Album of the Year’, ‘Artiste of the Year’, ‘Song of the Year’, ‘Best Pop single’, ‘Best R&B-Pop Album’ and ‘Best Collabo’ categories.
Bez who is signed to Cobhams Asuquo’s C.A.M.P is nominated in the ‘Recording of The Year’, ‘Recording Of The Year’, ‘Best R ‘N’ B Single’, ‘Best R ‘N’ B/ Pop Album’, ‘Best Collabo’, and ‘Best Vocal Performance’ categories. The 28-year-old released his debut ‘Super Sun’ mid-2011.
The likes of ‘Superstar’ rapper Ice Prince, pop sensations Wizkid, Davido and Soul singer Praiz follow closely with four nods each.
Pop giants D’banj and Wande Coal, rappers Naeto C, Vector, Olamide and pop singer Chuddy K trail with three nominations.
A keenly contested category is as expected the ‘Artiste of the Year’ which is occupied by P-Square, Wizkid, Ice Prince, Naeto C and D’Banj. All five acts have had a brilliant run in the last year.
Another interesting category is the ‘Producer of the year’ slot which will see the likes of Cobhams (Stupid Song by Bez), Tee-Y Mix (Super C Season album by Naeto C),Shizzi (Dami duro by Davido), Jesse Jagz (E.L.I by Ice Prince) and J Sleek (Private Trips by Wande Coal) slug it out for the coveted prize.
Modenine for the first time in the last five years is missing from the ‘Lyricist on the Roll’ categories. Those nominated include – rappers Vector, Yung6ix, Iceberg Slim, Phyno and South-South rapper Erigga.
The Headies 2012 will hold on Sunday October 20, at the Eko Hotels in Lagos
Check out the full list below…
ALBUM OF THE YEAR
Best album (solo or group) in year under review, that meets judges’ requirements of excellence (in every realms: songwriting, production, rendition and promotion) and acceptability (sales, popularity)
Everybody Loves Ice Prince – Ice Prince
The Invasion – P-Square
Superstar – Wizkid
Super C Season – Naeto C
ARTIST OF THE YEAR
Most critically and commercially adjudged artiste in the year under review Overall most successful artiste for the year under review.
P-Square
Wizkid
Ice Prince
Naeto C
D’Banj
SONG OF THE YEAR
Most popular song from an album in year under review. Decided by voting
Chop My Money – P-Square ft. Akon & May-D
Dami Duro – Davido
Oliver Twist – D’Banj
Gaga Crazy- Chuddy K
Kukere – Iyanya
RECORDING OF THE YEAR
Best single recording (on-air only or released) by artiste or group in year under review. Originality and production very essential
Stupid Song – Bez
Private Trips – Wande Coal
Ara – Brymo
I Love You – Praiz
PRODUCER OF THE YEAR
The individual responsible for producing the most acclaimed songs/album in the year under review. His CV for the year includes top-notch tracks and production credits no one can fault.
Cobhams – Stupid Song (Bez)
Tee-Y Mix – Super C Season (Naeto C)
Shizzy – Dami Duro (Davido)
J Sleek – Private Trips (Wande Coal)
Jesse Jags – E.L.I (Ice Prince)
BEST MUSIC VIDEO (AWARD GOES TO DIRECTOR)
Best conceptualised, best edited, best picture, best directed and most exciting video in year under review as voted by fans and decided by the jury.
5 & 6 (Naeto C) – Clarence Peters
Chop My Money Remix (P-Square) – Jude Okoye
Ara (Brymo) – Ajeh
Kosorombe (Dipp ft. Da Grin) – Mex
BEST R ‘N’ B SINGLE
Best R&B single in year under review (by single individual or group)
Private Trips – Wande Coal
Stupid Song – Bez
Nawti – Olu Maintain
Soundtrack – May D
Love Me (3X) – Tiwa Savage
BEST POP SINGLE
Best pop single in year under review (by single individual or group)
Dami Duro – Davido
Oliver Twist – D’Banj
Gaga Crazy – Chuddy K
Chop My Money – P-Square
Kukere – Iyanya
BEST R ‘N’ B/ POP ALBUM
Best R&B or pop album in year under review (by single individual or group)
Superstar – Wizkid
Super Sun – Bez
Versus – 9ice
The Invasion – P-Square
BEST RAP SINGLE
Best single released on-air recording of a rap song
Too Much Money – Iceberg Slim
Shutdown – Phyno
Angeli – Vector ft. 9ice
Oh My Gosh – Yung6ix
Young Erikina – Olamide
BEST RAP ALBUM
Best album by a rap artiste or group in year under review
E.L.I – Ice Prince
The Dreamer Project – Show Dem Camp
Rapsodi – Olamide
Super C Season – Naeto C
LYRICIST ON THE ROLL
Rap Artist with best lyrical depth and performance on a single song or album
Vector – Angeli
Yung6ix – Oh My Gosh
Iceberg Slim – Too Much Money
Phyno – Shutdown
Erigga – Mo Street Gan
BEST COLLABO
Best R&B, Pop or hip hop collaborative track (including cameos) in year under review
Chop My Money remix – P-Square ft. Akon & May-D
Angeli – Vector Ft. 9ice
Carolina – Sauce Kid Ft. Davido
Stupid Song – Bez Ft. Praiz
Orobo – Sound Sultan Ft. Excel & Flavour
BEST VOCAL PERFORMANCE (MALE)
Single male artiste with most outstanding vocal performance on a single song or album
Wande Coal – Private trips
Banky W – Low Key
Praiz – I Love You
Brymo – Ara
Bez – Stupid Song
BEST VOCAL PERFORMANCE (FEMALE)
Single female act with most outstanding vocal performance on a single song or album
Tiwa Savage – Love Me, Love, Love Me
Chidinma – Kedike
Ijeoma  – Oloomi
Waje – Na The Way
AFRICAN ARTIST OF THE YEAR
Non Nigerian category
Sarkodie (Ghana) – Azonto
Camp Mulla (Kenya) – Feel No Pain
D-Black (Ghana) – Get On The Dancefloor
Zahara (South Africa) – Loliwe
BEST STREET HOP
The most popular street-hop single in year under review
Kako Bi Chicken – Reminisce
Gaga Crazy – Chuddy K
Akpako – Terry G
Roll – Rayce
Mo Street Gan – Erigga
NEXT RATED
Most promising upcoming officially unreleased act in the year under review
Davido
Eva (Alordiah)
Praiz
Chuddy K
HIP HOP WORLD REVELATION OF THE YEAR
Best New artiste in the year under review
Wizkid
Ice Prince
Bez
Timi Dakolo
Olamide







Adele, who is a month away from welcoming her first child, is said to have married in secret.

The glowing mother-to-be was unmistakably sporting a gold band on her ring finger, while revealing her baby bump wearing a black maxi dress in London last month with fiance Simon Konecki.

“Adele and Simon managed to keep the baby news a secret for so long that there are rumours they’ve already gotten married, too,” the Daily Mail quoted a source as telling Life and Style magazine.


Gaga was photographed out in Helskinki yesterday. First leaving her hotel and then posing forTerry Richardson‘s magic camera outside the Chanel boutique.
She looked outstanding, wearing textured Blackbird cape dress with feathered hood and sharp leather shoulder detail, the finale number from Jean-Charles de Castelbajac “Fire on Ice” Fall 2012 collection, accessorized with opera gloves and a pair of her trademark platform boots.
L♥ve. This. Lo❤k.
Visit Terry’s Diary for moree photos from Helsinki, including gorgeous backstage captures!

Photos via: The-Fame, Terry’s Diary, Vogue, Jean-Charles de Castelbajac

Filed under DressJean-Charles de Castelbajac

Wednesday, August 29, 2012









Tuesday, August 28, 2012

NI VURUGU TUPU MOROGORO....


Mkuu wa Operesheni Sangara-Vuguvugu la Mabadiliko (M4C) chama cha Chadema, Benson Kigaila akiwa chini ya ulinzi katika gari la polisi mara baada ya kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho katika eneo la Msamvu Morogoro wakati wakiwasiri msafara wa Katibu Mkuu Taifa wa Chadema na viongozi wengine kwa ajili ya mkutano wa chama hicho katika Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro. Picha na Juma Mtanda.
POLISI WATUMIA MABOMU KUWATAWANYA CHADEMA, MMOJA ADAIWA KUUAWA KWA RISASI,WAWILI WAJERUHIWA
Juma Mtanda na Hamida Shariff, Morogoro
VURUGU kubwa zimezuka mjini Morogoro baina ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Polisi na kusababisha kifo cha mtu mmoja anayedaiwa kuwa mfuasi wa chama hicho cha upinzani.Tukio hilo lilisababisha taharuki kubwa katika eneo kubwa la Manispaa ya Morogoro, huku wanachama na baadhi ya viongozi wa chama hicho wakionekana kuzagaa katika maeneo mbalimbali  yakiwamo ya mjini na Hospitali ya Mkoa alikopelekwa maiti huyo na polisi kwa lengo la kupata taarifa zaidi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustine Shillogile alithibitisha kutokea kwa kifo hicho lakini akasema haijathibitishwa kwamba aliuawa kwa bomu, risasi au ajali na kwamba jeshi hilo linafanya uchunguzi kujua chanzo cha kifo chake.

Hata hivyo, alisema polisi walilazimika kutumia risasi za moto kuwatawanya wafuasi wa Chadema baada ya chama hicho kukaidi agizo lililowataka wasifanye maandamano.

Kifo hicho kilitokea katika eneo la Msamvu ambako wafuasi hao walikusanyika, wengine wakitokea Barabara ya Dar es Salaam na wale waliokuwa wakitokea Barabara ya Dodoma, tayari kuwapokea viongozi wa kitaifa wa Chadema.
Mfuasi huyo aliyefahamika kwa jina la Ally Zona (38), Mkazi wa Kihonda ni mpigadebe kwenye Kituo cha Mabasi Msamvu.

Taarifa za awali zilizolifikia gazeti hili, zilieleza kuwa Zona  alifariki dunia wakati polisi wakirusha mabomu ya machozi na risasi kuwatawanya wafuasi wa chama hicho waliokuwa wakijiandaa kuandamana na baadaye kuhudhuria mkutano katika Uwanja vya Shule ya Msingi Kiwanja cha Ndege.
Tukio hilo lilitokea jana saa 7:30 mchana.

Ilivyokuwa

Baada ya wafuasi hao kukusanyika Msamvu tayari kuanza maandamano, polisi walitoa amri ya kuwataka watawanyike, lakini walikaidi hivyo kuamua kurusha mabomu ya machozi na risasi hewani kuwatawanya kitendo ambacho kiliwafanya wafuasi hao kutawanyika na kukimbia ovyo.

Kamanda Shillogile alisema baada ya tukio hilo na taarifa za kifo cha mfuasi huyo wa Chadema, ameamua kutuma askari kwenda katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Mkoa ili kushirikiana na madaktari kuchunguza sababu za kifo hicho.

“Uchunguzi huo utabaini kama mtu huyo amefariki kutokana na bomu, risasi au ajali kwani wakati wa vurugu hizo watu walikuwa wakikimbia ovyo kwa kutumia magari na pikipiki,” alisema Shillogile na kuongeza:
“Kutoka eneo lililokuwa na vurugu hadi alipookotwa marehemu huyo, pana umbali kidogo kwa hiyo uchunguzi huo ndiyo utakaoeleza ukweli.”

Alisema kuwa uchunguzi wa awali, unaonyesha kwamba mwili wa Zona ulikutwa ukiwa unatoka damu kichwani kutokana na jeraha ambalo haijafahamika limetokana na nini.

Hata hivyo, Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu alidai kwamba kifo hicho kimetokana na risasi aliyopigwa kichwani na siyo bomu... “Kwa kitendo hicho polisi wanaonekana kuwa walifanya kusudi na walidhamiria kuua.”
Alisema mwili wa marehemu hautazikwa mpaka uchunguzi wa kidaktari utakapofanyika. Aliwataka walioshuhudia tukio hilo kujitokeza kutoa ushahidi ili askari waliohusika wachukuliwe hatua.
Alisema Chadema kimemteua Mwanasheria wake wa Mkoa wa Morogoro, Aman Mwaipaya kushuhudia wakati uchunguzi huo ukifanywa.

Kauli ya Chadema
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika baadaye jioni, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alisema kifo cha kijana huyo kinaongeza kasi ya mapambano ya chama hicho dhidi ya ukombozi wa kweli.
Alimlaumu Kamanda wa Polisi wa Mkoa na Kamanda wa Polisi Wilaya kwa kuamrisha askari wao kutumia nguvu dhidi ya wananchi wasiokuwa na silaha.

“Tuko tayari kushirikiana na familia ya kijana huyo kwa ajili ya taratibu zote za mazishi. Tutamzika kishujaa kwa kuwa alikufa akikipigania chama,” alisema Dk Slaa.
Aliwataka wananchi kuonyesha uchungu kwa kifo cha mfuasi huyo kwa kutupa kadi za CCM na kuchukua za chama hicho cha upinzani.

Awali, Mwaipaya alisema kifo cha mfuasi huyo kimesababishwa na polisi baada ya kurusha mabomu ya machozi na kusababisha vurugu na taharuki kwa wananchi pamoja na wanachama wa Chadema.
Alisema wakati wananchi wakiwasubiri viongozi wa Chadema; Dk Slaa, John Mnyika, Halima Mdee na Mchungaji Peter Msigwa, walikuwa hawafanyi vurugu zozote.

“Polisi ndio waliosababisha vurugu, baada ya kuanza kurusha mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi.
Nilishuhudia wakati marehemu (Zona) akidondoka,” alisema.

Viongozi wa Chadema mbaroni
Licha ya Kamanda Shillogile kueleza kuwa hakuna kiongozi wa Chadema aliyekamatwa kuhusiana na tukio hilo, taarifa zimeeleza kuwa jeshi hilo linawashikilia viongozi wake kadhaa akiwamo Mkuu wa Operesheni ya Vuguvugu la Mabadiliko (M4C), Benson Kigaila.

Kigaila na viongozi wengine walikamatwa baada ya kufika Msamvu wakati jeshi la polisi likiwa katika harakati za kuzuia mikusanyiko ya watu na kuwalazimisha kushuka katika magari yao na kuwakamata.
Maandalizi ya polisi kudhibiti maandamano ya Chadema yalianza majira ya saa 3:00 asubuhi kwa kutumia Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), ambacho kilionekana kikiwa na magari yasiyopungua matano kikirandaranda katika mitaa mbalimbali ya Morogoro.

Polisi hao walikuwa wakitangaza kuzuiwa kwa maandamano hayo na kuwataka wananchi kutojitokeza kushiriki wakionya kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa kwa watakaokaidi.





Prince Harry ameamua kuifunga page yake ya Facebook ikiwa ni wiki moja baada ya picha zake akiwa uchi kusambaa kwenye internet .
Hata hivyo page hiyo ilikuwa na jina tofauti ili kuepuka watu kumsumbua.
Jina alilokuwa anatumia Facebook ni Spike Wells ambalo mara nyingi lilikuwa likionesha habari kuhusu Harry pamoja na picha zake.
Kingine ni kuwa jina la utani la Harry ni “Spike,”kwa mujibu wa gazeti la Telegraph, ambalo limesema kuwa anajulikana sana kwa jina hilo.
Chanzo kimoja kimeuambia mtandao wa Us Weekly kuwa Prince Harry atakaa kimya kwa muda kwenye mtandao huo kwakuwa alishauriwa kujiondoa kwanza mpaka scandal hiyo ipungue.


Awamu ya kwanza  ya zoezi la kwasaka vijana watakaoweza kumudu mchakamchaka wa shindano la Maisha Plus, imeanza jana (Agosti 27) huko Bagamoyo mkoani Pwani.
Leo shindano hilo litafanya usaili katika wilaya ya Lushoto ambako zoezi hili litafanyika katika maeneo ya mjini mwa wilaya hiyo.

Baada ya hapo ratiba za audition zitaendelea kama ifuatavyo;
Agosti 29- Kilimanjaro/ Sanya juu
Usaili utafanyika katika mji wa Bomang’ombe

Agosti 30- Arusha/ Ngorongoro
Usaili utafanyika Karatu

Agosti 31 – Singida
Usaili utafanyika Singida Mjini

Septemba 1- Iramba
Usaili utafanyika Iramba Mjini

Septemba 2- Dodoma
Usaili utafanyika Kondoa Mjini
Hii ni awamu ya kwanza ya usaili wa shindano hili, audition zitaendelea stay tuned kwaajili ya tarehe na mahali ya auditon zitakazoendelea……….

Monday, August 27, 2012



Miezi mitatu aliyoitumia akiwa kwnye shindano la Big Brother Africa Stargame, imemuongeza Prezzo umaarufu maradufu na sasa hivi it’s time to make more money.
Bidhaa kadhaa zenye brand yake zimeingia sokoni na zitakuwa zikipatikana kwenye miji mbalimbali ya Kenya na Tanzania kwa kuanzia.
Kwakuwa jina lake ni kubwa barani Afrika bidhaa hizo hazitachelewa kusambaa kwenye nchini zingine za Afrika.
Bidhaa hizo ni pamoja na T-Shirts za kiume na kike, miamvuli na zingine.
Swali ni! Uko tayari kuwa Prezzofied?

AikaRose Mwashaa ni mtoto wa kike wa kitanzania, 12, mwenye ndoto ya kuwakilisha nchi yake kwenye mashindano ya kimataifa hapo usoni kwa kupitia mchezo wa mbinu za kujihami wa TAEKWANDO.
Anaishi Leuven , Ubelgiji.
Aikarose anamapenzi makubwa na mchezo huu aliouanza angali mdogo akiwa na umri wa  miaka 9 ,ameshashiriki mashindano madogo madogo nchini Belgium na kupata mafanikio makubwa kufikia medali ya fedha.
Hivi karibuni alifanikiwa kupata medali ya dhahabu katika mashindano ya Olympic open Brussels yaliyofanyika Rue Du Lombartzyde Brussels Belgium tarehe  27 May 2012.
Sasa hivi anajiandaa na team yake kwenda Copenhagen kwenye  mashindano ya Wonderfull Copenhagen yatakayofanyika mwezi ujao.
Wito wake hasa kwa vijana wadogo akitilia mkazo jinsia ya kike ni kujifunza michezo mbalimbali na kuwa na ndoto ya kuwa mabalozi kwa taifa lao la TANZANIA.
VIPAJI HUINUA TAIFA



Kundi la SKYLIGHT Band likishambulia Jukwaa kabla ya uzinduzi wa Kinywaji Kipya kinachozalishwa na kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) cha MALTIZA kinachotengenezwa na Kimea halisi kisicho na kilevi uliofanyika katika viwanja vya Mlimani City jijini Dar leo.
Malkia wa SKYLIGHT Band inayokuja kwa kasi jijini Aneth Kushaba (mbele kulia) sambamba na Mariam Lucas wakikonga nyoyo za Wakazi wa Dar waliohudhuria uzinduzi huo.
Meneja wa Kinywaji Kipya cha MALTIZA kinachozalishwa na TBL Bi. Consolata Adam (katikati) akikaribisha wageni kuhudhuria uzinduzi wa kinywaji hicho uliofanyika leo jijini Dar.
Baadhi ya wageni waalikwa wakiorodhesha majina yao kwa warembo maalum waliondaliwa kupokea wageni na kushiriki bahati nasibu ya papo kwa hapo wakati wa hafla ya uzinduzi wa kinywaji cha MALTIZA.
Meneja wa Kinywaji Kipya cha MALTIZA kinachozalishwa na TBL Bi. Consolata Adam akizungumza na vyombo vya habari kuhusiana na kuzinduliwa kwa kinywaji hicho kipya kinachopatikana katika ladha mbili za APPLE na PINE (Pineapple) ambacho amefafanua kwamba Tanzania imekuwa ya kwanza kwa Afrika kuzindua kinywaji cha aina hiyo kisicho na kilevi chenye ubora na kinachotengenezwa na kimea halisi kinachozalishwa hapa nchini.
Bi. Consolata Adam amesema kinywaji hicho kinapatikana katika ujazo wa 330Mls na kimeshasambazwa nchini kote na bei yake ni shilingi 1500, aliongeza kuwa kinywaji hicho ni halisi kisichotiwa rangi na kuwataka Watanzania kujiburudisha na MALTIZA.
Bi. Consolata Adam akionyesha kopo za Ujazo wa 330Mls za kinywaji cha MALTIZA aina ya APPLE na PINE.

Mratibu wa Usalama na Afya wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kassena Heavy, akiwaeleza jambo wachezaji na viongozi wa klabu ya Simba waliotembelea kiwanda cha TBL kilichopo Arusha mwishoni mwa wiki ili kujionea uzalishaji wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager ambayo ndio mdhamini wao mkuu. 
TIMU ya Simba Sports Club ambayo imeweka kambi mkoani Arusha imefanya ziara ya kutembelea kiwanda cha kutengeneza bia cha TBL kilichopo jijini hapa.
Akiongea katika ziara hiyo mwenyekiti wa kamati ya ufundi wa timu hiyo, Ibrahimu Masoud Maestro, alisema kuwa wao kama timu ya Simba wameamua kufanya ziara yao katika kiwanda hicho ili kuweza kujionea mambo mbalimbali ambayo yanafanywa na kampuni hiyo inayozalisha bia ya Kilimanjaro Premium Lager ambayo ndio wadhamini wakuu wa timu yao.
Alisema kuwa Kilimanjaro Premium Lager imekuwa ikiwapa ushirikiano mkubwa katika mambo mbalimbali ya kimichezo ikiwa ni pamoja na kuwapatia magari ya usafiri jezi pamoja na vifaa mbalimbali vya michezo hivyo wamefurahishwa sana na jinsi walivyopokelewa vizuri kiwandani hapo na aliwaomba waendelee na moyo huo huo wa kuthamini timu yao.
Akiongea kwa niaba ya kampuni hiyo Meneja wa bia ya Kilimanjaro, George Kavishe alisema kuwa wamefurahishwa sana na kitendo hiki cha timu hii ya Simba kuamua kuacha shughuli zao na kutembelea kiwanda chao na kuona kazi ambazo zinafanywa na kampuni hii.
Alisema kuwa TBL inathamini mchango wa timu za Simba na Yanga kwa soka la Tanzania na ndio maana imekuwa ikizidhamini timu hizi kwa muda mrefu huku akibainisha kuwa wataendelea kudhamini timu hizi hadi mwisho.
Alibainisha kuwa timu hizi mbili zimekuwa zikifanya mambo makubwa kwani zimekuwa zikiwapatia vijana mbalimbali ajira kwa kupitia timu zao.
Aliwasihi wananchi kwa ujumla kuendelea kuisapoti timu hizi kwani ndio timu mbazo zina wachezaji wengi zaidi wanaochezea timu ya taifa.
Kavishe alisema kuwa kupitia kudhamini timu hizi pia wamekuwa wakijitangaza sehemu mbalimbali kwani iwapo timu ikienda kucheza nje ya nchi wanaenda kukitangaza kinywaji chake cha Kilimanjaro Premium Lager hivyo wanafanya kampuni hii pamoja na bia ya Kilimanjaro kuwa juu zaidi. 

 
 Meneja wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akiongea na wachezaji na viongozi wa klabu ya Simba waliotembelea kiwanda cha TBL kilichopo Arusha mwishoni mwa wiki ili kujionea uzalishaji wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager ambayo ndio mdhamini wao mkuu.
Meneja wa Mauzo wa Kanda ya Kaskazini wa kampuni ya bia Tanzania (TBL), Kasiro Msangi akiongea na wachezaji na viongozi wa klabu ya Simba waliotembelea kiwanda cha TBL kilichopo Arusha mwishoni mwa wiki ili kujionea uzalishaji wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager ambayo ndio mdhamini wao mkuu.
Wachezaji na viongozi wa klabu ya Simba wakitembelea kiwanda cha TBL kilichopo Arusha mwishoni mwa wiki ili kujionea uzalishaji wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager ambayo ndio mdhamini wao mkuu.
Kocha Mkuu wa Simba, Profesa Milovan Cirkovic akiongea na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe kwenye hafla iliyofanyika baada ya wachezaji na viongozi wa klabu ya Simba kutembelea kiwanda cha TBL kilichopo Arusha mwishoni mwa wiki ili kujionea uzalishaji wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager ambayo ndio mdhamini wao mkuu.
Wachezaji wa klabu ya Simba wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kilichopo Arusha mwishoni mwa wiki ili kujionea uzalishaji wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager ambayo ndio mdhamini wao mkuu.
Kocha Mkuu wa Simba, Profesa Milovan Cirkovic akitoa neon la shukrani baada ya wachezaji na viongozi wa klabu ya Simba kutembelea kiwanda cha TBL kilichopo Arusha mwishoni mwa wiki ili kujionea uzalishaji wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager ambayo ndio mdhamini wao mkuu. Kulia kwake ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe na Meneja wa Vifaa wa Klabu ya Simba, Kessy Hassan (kushoto)

KOCHA Mkuu wa Yanga, Tom Saintfiet anahofia wachezaji wake wanaweza kuathirika kisaikolojia kama timu itaongeza siku za kubaki Kigali, Rwanda.

Kutokana na hali hiyo amewashauri viongozi wa klabu hiyo timu irejee Dar es Salaam leo kama walivyokuwa wamepanga awali walipoenda Kigali, Rwanda.
Yanga ambao ni mabingwa wa soka Afrika Mashariki na Kati walikuwa Kigali, Rwanda kwa mwaliko wa Rais wa nchi hiyo, Paul Kagame.
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Abdallah Bin Kleb akizungumza kwa simu na gazeti hili jana, alisema hatua ya Yanga kurejea nchini inatokana na ushauri wa Saintfiet.
Alisema kocha huyo amewashauri viongozi wa klabu hiyo kutoongeza siku za kukaa Rwanda na badala yake warudi kuendelea na kambi yao jijini Dar es Salaam na kwamba uamuzi huo ulifikiwa kwenye kikao cha pamoja juzi usiku.
Alisema katika kikao hicho walimuuliza kocha kama angependa timu hiyo ibaki Kigali au la, na aliwaeleza ni vyema wakarejea Dar es Salaam kwani anahofia wachezaji wangeweza kuathirika kisaikolojia kwa vile walishaeleza wanarudi Dar.
Alieleza kuwa kocha huyo alisema wachezaji waliambiwa awali watarudi Dar es Salaam leo, hivyo suala la kusogeza mbele siku ni kuwatafutia matatizo kwa vile wamekuwa wakiwasiliana na familia zao kwamba wanarudi siku hiyo.
Wakati huo huo, Simba jana iliwapa raha mashabiki wake baada ya kuifunga Mathare United mabao 2-1 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha.
Simba walikuwa wa kwanza kubisha hodi kwenye lango la Mathare, lakini mshambuliaji kutoka Zambia Felix Sunzu alishindwa kumalizia kazi nzuri iliyofanywa na Abdallah Juma dakika ya tano ya mchezo huo kwa shuti lake kuokolewa mabeki wa Mathare United.
Dakika ya 17 Simba walifanya shambulizi lingine, lakini Abdallah Juma akiwa na kipa wa Mathare United, Martin Musali, alipiga shuti lililopaa juu ya lango.
Mathare walijibu dakika ya 18 na 25, lakini washambuliaji wake Francis Ouma na Kelvi Omondi walishindwa kuzitumia nafasi hizo. Simba ilipata pigo dakika 30 kwa beki wake kutoka Mali, Komabil Keita kuumia na kutolewa nje na nafasi yake kuchukuliwa na Juma Nyosso.
Mshambuliaji mpya wa Simba raia wa Ghana, Daniel Akufor aliwainua mashabiki wa timu hiyo dakika ya 58 alipofunga bao kwa kichwa kutokana na krosi ya Amir Maftah, lakini dakika tano baadaye Mathare ilisawazisha baada ya Nyosso kujifunga alipokuwa katika harakati za kuokoa.
Simba iliandika bao la pili kwa mkwaju wa penalti mfungaji akiwa Kigi Makasy baada ya Uhuru Selemani kuangushwa eneo la hatari dakika ya 68.


Chadema yamtaka Nape alipe bilioni 3



CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimempa siku saba Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye aombe radhi na kulipa fidia ya Sh bilioni tatu kwa madai ya kukikashifu chama hicho, la sivyo kitamburuta kortini.

Hatua hiyo ya Chadema inatokana na madai kuwa Nape alikikashifu chama hicho kwa kudai kimekuwa kikiitisha harambee kuwahadaa Watanzania ili kuhalalisha mabilioni ya chama hicho yanayodaiwa kutolewa na wafadhili kutoka mataifa tajiri duniani.
Hata hivyo, pamoja na kupewa siku hizo, Nape ambaye wakati akitoa kauli hiyo Agosti 12, mwaka huu, alidai kuwa anao ushahidi kuhusu kauli yake dhidi ya chama hicho, jana aliliambia gazeti hili kuwa atatoa majibu kuhusu uamuzi wake wa kutakiwa kuomba radhi leo.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika, alidai chama hicho kimeanza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya Nape kutokana na madai yake ya uzushi na uongo dhidi ya Chadema.
Alisema Bodi ya Wadhamini wa Chadema iliagiza wanasheria waandike barua ya kumtaka Nape kuomba radhi kwa kutumia njia ile ile aliyotumia kukikashifu chama hicho na kukifitinisha kwa umma wa Watanzania.
“Hii ni pamoja na kuzusha kuwa upo uwezekano wa Chadema kupewa fedha hizo kwa mikataba yenye masharti ya kuiweka nchi rehani,” alidai Mnyika huku akiongeza kuwa tayari kiongozi huyo wa CCM ameshaandikiwa barua ya kisheria tangu Agosti 24, mwaka huu.
Alisema barua hiyo inamtaka aombe radhi na kulipa fidia ya Sh bilioni tatu kwa matamshi hayo aliyodai kuwa ni ya uzushi na uongo yenye maana ya kuwapotosha waliyoyasikia na kuyasoma kuwa Chadema inawalaghai wananchi, kina viongozi wasio waaminifu na kiko tayari kuuza nchi kwa uroho wa madaraka.
“Kipaumbele cha chama chetu katika suala hili ni kuombwa radhi, lakini tumeamua kutaka fidia ya fedha kwa fedheha tuliyopata, ikiwa ni fundisho kuwa uzushi na uongo unagharimu,” alisisitiza Mnyika.
Alisema Agosti 12, mwaka huu baada ya mkutano wa Nape na waandishi wa habari, alimuomba Rais Jakaya Kikwete kueleza Watanzania iwapo propaganda hizo alizoziita chafu zina baraka zake au za chama chake.
“Ukimya wa Rais Kikwete mpaka sasa kuhusu matamshi hayo inaifanya Chadema kuwa na imani yenye shaka kwamba Nape hakutumwa na chama chake kutoa matamshi aliyoyatoa.
“Tunachukua fursa hii kuutaarifu umma kuwa asipotekeleza matakwa hayo ndani ya siku saba, hatua nyingine ni kumfikisha Mahakama Kuu kwa hatua zaidi,” alidai.
Nape kutoa tamko Akizungumza na gazeti hili kuhusu tamko hilo la Chadema, Nape alisema kwa sasa hatozungumzia suala hilo hadi leo ambapo atatoa tamko rasmi kwa upande wake.
Agosti 10, Chadema ilifanya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia mkakati wa kutekeleza operesheni ya vuguvugu la mabadiliko nchini (M4C).
Hata hivyo, Nape katika mkutano wake na waandishi wa habari, aliita hatua hiyo ya Chadema kuwa ni kiinimacho kwa madai kuwa chama hicho kimekuwa kikifadhiliwa mabilioni ya fedha nje ya nchi.
Aidha, Nape alidai anao ushahidi wa kutosha unaoonesha mabilioni waliyopewa Chadema hivi karibuni na wafadhili kutoka nje ya nchi kwa lengo la kuendeleza operesheni zao mbalimbali nchini.
Nape katika hilo, alidai kushangazwa na Chadema ambayo badala ya kuwaambia wanachama wao na Watanzania kwa jumla wanakopata mabilioni hayo, wanawahadaa kwa kuwachangisha na kugeuza mapato hayo mtaji wa baadhi ya watu binafsi ndani ya chama hicho.



Ikiwa ni mda mfupi sana tangu alipoingia katika kampuni yenye wasanii kama Dogo janja, Amazon PNC na wengineo inayojulikana kama watanashati, Suma Mnazareti ameaschana na chama hilo linaloongozwa na ashati Ostaz Juma Namusoma.

"Nimeamua kujitoa mtanashati, na sababu kubwa katika zote ya kujitoa ni kwamba nilifata kazi kwa Ostaz na sio hela zake, so nilichokuwa nadhania ntakipata mtanashati hakipo,Boss anatafta zaidi sifa na ustaa Tanzania na mimi mziki ni kazi yangu..anaweza akagawa mamilioni kwa watu ili atajwe lakini anashindwa kulipa hela ya maana kwa ajili ya video, matokeo yake anatoa shilingi laki tatu? unadhani tutaweza kushindana na video kama za kina Ay za million 30?. nimeuza mpaka blackberry yangu kuongeza kwenye pesa za kukamilisha video yangu, wakati hata nilivyokua ha hustle mwenyewe sikuwahi kuuza sim yangu. so nimejiondoa maana sioni faida yoyote, na mimi mziki kwangu ni kazi nataka nifike mbele zaidi. aliongea Suma

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
© ALLSTARTZ.BLOGSPOT.COM 2012 - 2017 | ALL RIGHTS RESERVED | CODE + DESIGN BY: DMZ