• Instagram
  • Twitter
  • Facebook
  • Google+
  • RSS Feed

Thursday, April 23, 2015

Majambazi wanne wakamatwa Dar es Salaam.

No comments:
 

Leo Jumanne 21 Aprili 2015 mida ya saa 8 mchana watu wanne wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamekamatwa baada ya kumuibia mzungu ambaye jina lake halikufahamika mara moja, karibu na benki ya Stanbic Kinondoni jijini Dar es salaam, watuhumiwa hao walifanikiwa kukimbia lakini walikamatwa mtaa wa Redcross jijini Dar es salaam.
.
 



Watuhumiwa hao walikuwa na bunduki mbili, na baada ya tukio hilo mtu mmoja ambae naye jina halikufahamika mara moja aliamua kuwafuatilia watu hao nyuma nyuma mpaka hapo redcross kwenye mataa ndio akawaziba njia kwa sababu kuna askari.

Watuhumiwa hao walizobwa njia wakashuka na bunduki ndipo askari waliokuwepo eneo hilo wakawaweka chini ya ulinzi. na kuwakamata na kupelekwa kituo cha polisi…..Watuhumiwa hao walikuwa wanne.




No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
© ALLSTARTZ.BLOGSPOT.COM 2012 - 2017 | ALL RIGHTS RESERVED | CODE + DESIGN BY: DMZ