• Instagram
  • Twitter
  • Facebook
  • Google+
  • RSS Feed

Monday, June 29, 2015





























Sunday, June 28, 2015

Floyd Mayweather BET Experience Concert
Floyd hataki kupoteza hata nafasi moja kuwaonesha mashabiki zake jinsigani alivyo Tajiri,Pichani akiwa katika BET Experience Concert katika mji wa Los Angeles iliyowashirikisha akina Ice Cube,Snoop Dogg,na Dr.Dre.
Jezi hii aliyovaa amewakumbusha watu juu ya Mchezaji CARL MALONE aliyekimbiza sana katika Basketball.
Angalia alichopost instagram:-

Saturday, June 27, 2015

Meek Mill Nicki Minaj All Eyes On You cover
Meek Mill amshirikisha Demu wake Nicki Minaj na muimbaji wa R & B Chris Brown katika single yake mpya " All Eyes On You" inayopatikana kwenye albamu yake mpya 
Dreams Worth More Than Money.

LYRICS:-
(Verse 1)
Oh me, oh my
What a girl sexy
What a girl fly
From the very first time
Stuck in a mi mind is like mi get high
When shi put it pon the left
And shi fling it pon the right
Mash up the whole a mi life
Mi seh mi haffi get another try
Cause tonight
(Chorus)
Cause tonight she put her whole on me
Now she’s in my life this is all am dreaming it to be
Put her all on me
This is how I want to be
This is how I want my love to be
(Verse 2)
Loving is coming from you
And it’s hold me tight and don’t let go
Wi ticking like tic toc toe
This is all the best and the great we know
The best man you ever know
Love mi style, love mi flow
And I take you places you always dreaming to go
(Repeat Chorus)
(Repeat Verse 1)
(Repeat Chorus)

Wednesday, June 24, 2015

Monday, June 22, 2015

Miguel-Coffee-Video

Sunday, June 21, 2015


  1. Jamaa wana operation maalum leo vyombo vyote vya usafiri 
    vinakaguliwa.

    Name:  IMG-20150621-WA0000.jpg
Views: 0
Size:  106.4 KB
    Name:  IMG-20150621-WA0001.jpg
Views: 0
Size:  87.0 KB
    Name:  IMG-20150621-WA0003.jpg
Views: 0
Size:  98.8 KB

Friday, June 19, 2015



Vikosi vya usalama nchini Somalia vinasema kuwa vimetibua jaribio la mlipuaji wa kujitoa muhanga dhidi ya mkutano wa wanasiasa katikati ya taifa hilo.
Maafisa wa polisi wanasema kuwa wamewaua watu watatu waliojihami kwa bunduki pamoja na dereva wa gari lililojaa vilipuzi.
Kundi la wapiganaji wa AL Shabaab limekiri kutekeleza uvamizi huo katika mji wa Adado.
Pia limesema kuwa lilishambulia vikosi vya Amisom pamoja na majeshi Somalia.
Al Shabaab limekuwa likiongeza mashambulizi yake wakati wa mwezi mtukufu wa Ramdhan ambao umeanza.

Mwanamke raia wa Tanzania aliyejulikana kwa jina la Chambo Fatma Basil, amekamatwa katika uwanja wa ndege wenye harakati nyingi wa Mumbai nchini India akiwa na kilo 74 za dawa za kulevya aina ya methaqualone. Maafisa wa Uhamiaji na wa Usalama walimkamata mwanamke huyo, Jumatano akiwa na paspoti ya Tanzania akijianda kuja Dar es Salaam kupitia Doha, baada ya kupatiwa taarifa za kiitelijensia.


Mumbai Customs’ biggest score: 74 kgs of drugs seized at airport

Officials intercepted the passenger Chambo Fatma Basil, who travelled from Dar es Salaam to Mumbai via Doha using Qatar Airways.

In the biggest drug bust at the Mumbai airport, Customs officials seize 74 kgs of drug Methaqualone from a woman passenger on Wednesday morning. The drugs worth Rs 7.4 crores were retrieved from three checked-in bags. Officials from the Air Intelligence Unit intercepted passenger Chambo Fatma Basil, who travelled from Dar es Salaam to Mumbai via Doha using Qatar Airways. “This is one of the biggest seizures we have had till date. The bags were so heavy because of the drugs that the woman paid Rs 1 lakh for excess luggage. She claimed it was her first time as a drug mule as she was not aware of the contents as the bag was given to her by her cousin,” said Milind Lanjewar, additional commission of Customs, Mumbai airport. The passenger has been arrested under the Narcotic Drugs And Psychotropic Substances Act, 1985, Act and will be produced before the court by evening, said officials. Major drug busts at the airport this year involved women, said Customs officials. On May 18, Customs had seized 13 kg of the same drug, worth Rs 1.29 crore, hidden inside false compartment of a suitcase carried by a Zimbabwean woman passenger. In February, the Customs’ Labrador sniffed out 9.9 kg of Ephedrine worth Rs 9.9 lakh from a Malawian woman passenger’s checked-in baggage at Chhatrapati Shivaji International Airport (CSIA). This was the third such drug haul cracked by the Customs’ canine unit in the financial year, the two first worth Rs 25 crore, added Customs officials.


Kanisa la Charleston
Utumizi wa neno ''uhalifu wa chuki'' ili kuelezea mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la watu weusi mjini Carolina Kusini nchini Marekani umezua mjadala kuhusu ni nini haswa kinachosababisha mtu kutekeleza ugaidi.
Watu wengi wameonyesha hasira zao kuhusu vile afisa mkuu wa polisi mjini Charleston alivyoelezea kisa hicho wakati wa mkutano na vyombo vya habari.
null
Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa akiandamana na maafisa wa polisi
Wanasema kuwa ''uhalifu wa kivita'' sio neno zito linalofaa kutumika kuelezea kisa hicho na kudai kwamba iwapo waathiriwa wangekuwa watu weupe na mshukiwa kuwa mwenye asili ya Asia,ama mweusi neno ugaidi lingetumika.
Mshukiwa Dylan Roof ,mwanamume mwenye umri wa miaka 21 ameshtumiwa kwa kuingia ndani ya kanisa saa tatu za usiku siku ya jumatano na kuwapiga risasi waumini waliokuwa katika maombi.
nullMshukiwa wakati alipokuwa akiingia kanisani
Katika picha ya mtandao wake wa facebook mshukiwa huyo alikuwa amevalia jaketi lililo na picha na bendera ya Rhodesia na Afrika kusini.
Kanisa la Kiafrika la kimethodisti lina historia ndefu kama eneo la vita dhidi ya ubaguzi wa rangi na ni muhimu katika historia ya Wamarekani weusi.
null
Watu wakiwa wanaomboleza Mauaji ya Charleston
Mwanaharakati Martin Luther King na Coretta Scott wote walizungumza katika eneo hilo.


Rais wa taifa la Gambia ambaye amekaa kwa kipindi kirefu madarakani Yahya Jammeh ameongezwa jina la Babili Mansa juu ya jina lake.
Kulingana na kabila la Mandika jina hilo lina maana ya 'mtengezaji daraja mkuu' ama 'mshindi wa mito'.
Taarifa kutoka kwa rais imesema kuwa rais Jammeh sasa anapaswa kuitwa mtukufu Sheikh Profesa Alhaji daktari Yahya AJJ Jammeh Babili Mansa.
Alichukua jina hilo mara moja mwaka 2014 kabla kuliacha kulingana na ripoti.
Rais Jammeh alichukua mamlaka mwaka 1994 alipokuwa luteni wa jeshi na amefanikiwa kushinda chaguzi 4 ambazo zimekosolewa mbali na kukabiliwa na majaribio kadhaa ya mapinduzi.
Ameiambia BBC mwaka 2011 kwamba atatawala kwa miaka bilioni moja..iwapo Mungu atamruhusu.
Iwapo ungependa kuongeza jina jingine juu ya jina lako basi ni jina gani ungependelea kupewa?


Nyota wa timu ya Brazil 
 alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kipenga cha mwisho cha mechi ya kinyang'anyiro cha Copa America baada ya timu yake kufungwa na Colombia kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1991.
Mshambuliaji huyo wa klabu ya Barcelona alimpiga mpira Pablo Armero kimakusudi kabla ya mchezaji wa Colombia Carlos Bacca pia kupewa kadi nyekundu baada ya kulipiza kisasi kwa kumsukuma Neymar.
Beki Jeison Murillo alifunga bao la pekee baada ya dakka 36.Brazil ilijaribu sana kuimarisha mchezo wake lakini ilishindwa kutengeza nafasi za kufunga goli.
null
Neymar
Colombia itakabiliana na Peru katika fainali ya kundi cha,huku Brazil ikichuana na Venezuela.
Brazil,Colombia na Venezuela wako sawa katika kilele cha jedwali wakiwa na pointi tatu kila mmoja.

Tuesday, June 16, 2015

HAPPY BIRTHDAY BABY NORTH

We thought that if there was one thing that Kim Kardashian was on top of, it was her social media channels.
So imagine our surprise when the pregnant star revealed that she had accidentally forgotten to post an entire selection of adorable pics from her family vacay to Jerusalem and Armenia?
Kim forgot to share these priceless pics of North's baptism. Copyright: [Instagram] Kim forgot to share these priceless pics of North's baptism. Copyright: [Instagram] 
Unforgivable really, eh?
Thankfully the 34 year old put right this wrong by sharing the photos of her daughter, North West's, baptism in Jerusalem on one of the most appropriate days of all - little Nori's second birthday.
All together now: N'AWWWWWWW.
Anybody else think that Kim looks a bit like a painting here? Copyright: [Instagram] Anybody else think that Kim looks a bit like a painting here? Copyright: [Instagram] 
Kim kickstarted this sharing extravaganza with a pre-baptism snap of the Kardashian-West family learning all about the history of Jerusalem, with North sporting a familiar looking cable knit vest with frayed denim shorts.
So chic we can't handle it.
Kim captioned the photo with: "I don't remember posting these pics of us in Jerusalem. This was where Mary took Jesus to wash him off after he died on the cross."
The Kardashian-Wests also took the time to learn about Jerusalem. Copyright: [Instagram] The Kardashian-Wests also took the time to learn about Jerusalem. Copyright: [Instagram] 
She then shared another from the main event, writing: "Baptizing North in Jerusalem in an Armenian church with our new baby in my belly was so special".
TOO CUTE. Copyright: [Instagram] TOO CUTE. Copyright: [Instagram] 
Adding an extra close up of a very peaceful looking North, Kim called her daughter "sleeping beauty" as Nori seemingly found the entire thing a little bit on the snoozefest side.
Better than screaming the place down like all other babies seem to do at their christening though, right?
SLEEPY TIME. Copyright: [Instagram] SLEEPY TIME. Copyright: [Instagram] 
Thanks to the US/ UK time difference, we still have a little while to go before our Instagram feeds are full of pictures of one of our fave celebrity babies in celebration of her day of birth but so far Granny Kris Jenner has taken to her Instagram page to pay tribute to her granddaughter.
Sharing an absolutely gorgeous pic of North, Kris gushed: "Happy Birthday to my beautiful little Granddaughter North !!! I love you my little TuTu girl...
Granny Kris shared this sweet snapshot. Copyright: [Instagram] Granny Kris shared this sweet snapshot. Copyright: [Instagram] 
"Thank you for bringing so much joy laughter and love into our lives!!!!! YOU and your precious cousins are the greatest blessings and gifts!!! #northwest #bestdirection #lovebug #youaretwo!!!!!"
We can literally feel the love.

Needless to say, we can't bloomin' wait to see whatever cute words North's mummy, daddy, aunties, and uncles post to celebrate the special day. 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
© ALLSTARTZ.BLOGSPOT.COM 2012 - 2017 | ALL RIGHTS RESERVED | CODE + DESIGN BY: DMZ