• Instagram
  • Twitter
  • Facebook
  • Google+
  • RSS Feed

Friday, January 24, 2014



Tuesday, January 21, 2014



Sunday, January 19, 2014

** *It is Our beloved Mother's memorial day today Jan 19. It has been 1 year since she passed away.These are the only words I have for this day;* * * *"We find a place for what we lose. Although we know that after such a loss the acute stage of mourning will subside, we also know that we shall remain inconsolable and will never find a substitute. No matter what may fill the gap, even if it be filled completely, it nevertheless remains something else". * *Kadendula's Family*

Saturday, January 18, 2014



Miraji Kikwete na Aima Mahmoud wakiondoka kwenye ukumbi wa Mlimani City baada ya kufunga ndoa yao jana. Picha na Florence Majani  
Shamra shamra na nderemo zilitawala jana kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City wakati Miraji Kikwete, mtoto wa Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete alipofunga ndoa na Alma Mahmoud.
Sherehe hizo zilianza saa 7:00 mchana baada ya ndoa kufungwa na maharusi hao kuingia ukumbini hapo wakiongozana na Rais Kikwete.
Hali nje ya ukumbi huo ilikuwa tulivu ingawa uwanja ulikuwa umefurika magari ya polisi, viongozi na wageni waalikwa. Huku kikosi cha kudhibiti ulinzi na usalama kikiwa kimefunga mitambo ndani na nje ya ukumbi huo.
Ulinzi katika eneo hilo ulikuwa ni mkali kupita kiasi ambapo hakuna yeyote aliyeruhusiwa kuingia ukumbini humo bila kadi maalumu, hata angeomba kwa kupiga magoti.
“Hata sisi tumetoka Bagamoyo hadi hapa tuna undugu kabisa na mkubwa (Rais Kikwete), lakini wametunyima kwa sababu hatuna kadi,” alilalamika mwanamke mmoja aliyeongozana na wanaume wawili.
Hakuna waandishi wa habari walioruhusiwa kuingia ndani ya ukumbi huo, isipokuwa waandishi na wapiga picha maalumu wa Serikali ambao walipewa vitambulisho maalumu na tisheti.
Wengine walioonekana wakipiga picha ni wanafamilia ambapo watoto wa kiume wa Rais Kikwete, walionekana wakiwa na kamera huku wamevalia kanzu nadhifu.
Mfanyakazi mmoja wa Ikulu alipomwona Mwandishi wa gazeti hili, alimfuata na kumwambia kuwa sherehe hiyo ni ya kibinafsi na haruhusiwi mwandishi yeyote kufanya kitu chochote.
“Tumenyimwa kuruhusu waandishi kwenye sherehe hii, sawa wewe ni mwandishi lakini hii ni sherehe binafsi na ya kifamilia, huruhusiwi kupiga picha yeyote,” alisema mfanyakazi huyo, jina linahifadhiwa.
Hata hivyo, mwandishi alitumia mbinu kupata picha za maharusi hao pamoja na matukio mengine yaliyokuwa yakiendelea ukumbini hapo.
Wageni wengi waalikwa walianza kuingia ukumbini humo majira ya mchana na wengine waliendelea kuwasili hadi saa 11 za jioni.
Miongoni mwa viongozi wa kitaifa waliohudhuria sherehe hizo ni pamoja na Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal, Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, Waziri wa Afya, Dk Hussein Mwinyi, Naibu Waziri wa Afya, Dk Seif Rashid na Waziri wa Maendeleo ya Wanawake Jinsia na Watoto, Sophia Simba

Friday, January 17, 2014

Kanye-Christ
“I AM a God,” Kanye West anasikika kwenye moja ya nyimbo zake zilizopo kwenye album Yeezus (jina likiwa mchanganyiko wa aka ‘Ye – na Jesus).
Na sasa wafuasi wa rapper huyo wameanzisha website, Yeezianity.com maalum kwa watu wote wanaotaka kubadilisha dini kwenda Yeezianity, inayojitangaza kama “THE BEST CHURCH OF ALL TIME!!!!!”
Kitty Pride
“Sisi ni kundi lisilotaka kujulikana linaloamini kuwa yule anayejiita Yeezus ni kiumbe kitakatifu kilichotumwa na Mungu kuongoza kwenye kizazi kipya cha ubinadamu,” yanasomeka maneno kwenye website.
Kwenye website hiyo kuna sheria kadhaa au nguzo na tamko la imani likiwemo ‘Imani kwa Yeezus’ na ‘I believe Yeezus will lead us into a new Age of Creativity’. Amen.” Mwanzilishi wa ‘Yeezianity’ ameongea na mtandao wa Vice kwa masharti ya kutotajwa jina na kusema kuwa Yeezianity si kitu cha mzaha.

WENGI wa watu nchini China wanapendelea ujenzi wa majengo makubwa ya kihistoria na magari kadhaa yenye muonekano wa alama ya uchina kama ishara ya kuonyesha ufanisi wao katika uvumbuzi wa vitu mbalimbali duniani.
Lakini basi tena, wachina ni watu katika jamii wanaopenda kufanya mambo makubwa na tofauti na ni wazalishaji wa vitu vingi vya hapa leo duniani, sasa wachina wanatengeneza meli kubwa kwa mfano wa meli maarufu ya Titanic.

Meli ya Titanic iliyozama mwaka 1914 karibu karne moja iliyopita na kuua watu karibu elfu moja, sasa kampuni kutoka uchina ya Star Investment Group katika mkoa wa Sichuan itatumia dola za kimarekani 165 milioni katika kujenga upya meli mfano wa Titanic.
Meli hiyo mpya ya wachina itafanana kabisa na meli ya Titanic iliyozama vibaya kwenye kina cha bahari karne moja iliyopita. Meli hiyo itajengwa kwa ushirikiano na kampuni ya serikali ya China Ship building Corporation ya Wuchang inatumika kama sehemu ya hifadhi ya makumbusho katika mkoa wa Sichuan.
Katika meli hii ya replica ni ishara ya uvumbuzi uliotukuka kutoka kwa wachina na watazamiwa kuingiza mamilioni ya fedha kama riba kutokana na alama ya Titanic duniani.

Thursday, January 16, 2014





DSC03565
DSC03566DSC03567DSC03568DSC03569DSC03570DSC03571DSC03572DSC03573DSC03574DSC03575DSC03576DSC03577DSC03578DSC03579DSC03580DSC03581DSC03582DSC03583DSC03584DSC03585DSC03586DSC03587DSC03588DSC03589DSC03590DSC03591DSC03592

Wednesday, January 15, 2014



We are proud to announce that the album "FAMBAE FAMBAE" of Angels Voices Band is available in DVDs on 25/01/2014..... please don't miss it out, only 20 bucks... Stay blessed... 





IT'S CONFIRMED! IT'S CONFIRMED! IT'S CONFIRMED! Ciara revealed that she and Future are expecting their first child together!
Congrats to Ciara and her pregnancy! The singer confirmed on The View this morning that she (andFuture) is in fact pregnant with her first child! 

Tuesday, January 14, 2014


Wanaume wengi wanapobaini kuwa wapenzi wao wanawasaliti, hutunisha misuli kuonesha umwamba kwa kuwatwanga makonde wapenzi wao au kuwafanyia mbaya wale waliowanasa. Lakini uchunguzi wa wana mapenzi unaonesha kuwa ubabe haukomeshi tabia ya usaliti.
Kuna wengi ambao waliwafumania wake zao, wakawapiga na kuwajeruhi, lakini wakajikuta hawakukomesha tatizo, zaidi ya kuwapa usugu wapenzi wao wa kuendeleza wizi tena kwa dharau na kejeli huku wakibembelezana kwa maneno haya: “mzushi kaenda kazini njoo sasa hivi Wapendanao Gesti” au “vipi yule bwege alikuuliza jana ulipochelewa kurudi” Jamaa anaweza kumuuliza hivyo mke au mpenzi wa mtu.

 http://i.telegraph.co.uk/multimedia/archive/01450/stress_1450620c.jpg
Katika hali ya kawaida usaliti ni jambo linalouma kwa kiwango kikubwa. Katika mapenzi hakuna suala la kuazimana mume/mke. Watu huazimana magari na pesa, lakini laazizi hakuna jasiri wa namna hiyo! Hivyo ndivyo lakini, kupiga au kuachana baada ya kufumaniana kunasaidia? Jibu hakusaidii, kwani ukimpiga adhabu inaishia hapo hapo,  kesho yake watakaokutana watakusaliti tena kupozana machungu.
Maamuzi ya kuacha naye hayasaidii kwani ukimwacha mpenzi wako hujamtibu, utakuwa umetoa mwanya wa yeye kuendelea kukusaliti na kukuumiza zaidi pale macho yako yatakapowaona wameshikana mikono mitaani kwa uhuru na raha zao.
Ukiamua kuua na wewe utauawa, huku wanadamu wenzako wakikucheka kwa uzembe wa kufikiri. Jamani usaliti upo kila siku, si tunawaona wake na wapenzi wa watu wanaingizana gesti kila siku?
 
Hivyo, kama hujamfuma mpenzi wako leo kuna siku utakutana na meseji kali akibembelezana na ‘kidume’ mwingine kwa maeneo  fulani. Utafanyaje baada ya kubaini hivyo, maana kama ni tukio basi utakuwa umeona lile la stejini laivuuuuuu bila chenga. Twende pamoja ili tuelimishane kama wadau wa mapenzi njia sahihi ya kufanya ili kumwadhibu mpenzi msaliti.
 
Kwanza, baada ya kuwaona uso kwa macho wakisaliti penzi, unatakiwa kutoa ishara zitakazoonesha kuwa umewaona, halafu ondoka eneo hilo. Ukifika home mtu mzima endelea kunywa maji ili kupoza presha. Akirudi mpenzi wako jitahidi kumkaribisha kwa bashasha, lakini usimuulize ulichoona mwache aendelee kujiuliza mwenyewe.
Au kama umenasa meseji za kimahaba kutoka kwa mwizi wako, zitume kwenye simu yako kwanza, kisha baada ya kumaliza uchunguzi wako mtumie tena sms hizo mkeo/mumeo. Ukifanya hivyo usimuulize, endelea kumpenda na ikiwezekana ongeza matunzo. Nunua ‘mikuku’ akaange kila siku na umpe penzi moto moto.
Nakwambia ukifanya hivyo mpenzi wako ataumia sana na hataendelea kukusaliti kwa kuwa atakuwa anawaza unafikiria kumfanya nini? Na kwa yule uliyemshika naye, vivyo hivyo usizozane naye, mwache! Utashangaa anahama eneo maana atakuwa anafikiri unamwandalia kombora kumbe wewe wala, umeamua kujituliza tu!
Wadau wa mapenzi hii ndiyo dawa ya mtu msaliti. Mwadhibu kwa upole, wanasaikolojia wameithibitisha adhabu hii kuwa ina uchungu mara 1,000 zaidi ya kupiga au kukemea. Ukisema umwache siyo dawa kwani unaweza kutafuta mwanamke/mwanaume mwingine naye akawa na tabia zile zile, ikiwa ndivyo utaacha wangapi basi katika maisha haya?
 

Adhabu ya mpenzi anayekusaliti ni kumnasa kwenye usaliti wake kisha kumpuuza huku wewe ukiendelea na mambo yako kama kawaida, ukifanya hivyo utakuwa unamtibu ugonjwa wake wa kupenda penda hovyo na hii ndiyo dawa hasa ya kumponya msaliti, lakini pia inasaidia kupunguza maumivu ya penzi. Kumchunga na kumlilia machozi hakusaidii.

MJUE:JOSEPH LUOGA kijana ambaye ameamua kuokoka yeye na Familia yake na kuamua  kumuimbia Bwana na Mwokozi wake katika maisha yake.

Kwa upande wangu nilijuana nae miaka mingi iliyopita tukiwa Sumbawanga,Ni miaka ya Tisini na kidogo,baadae alihamia Mbeya miaka ya 2,000 ambako alikuwa akifanya Biashara zake ndogondogo kule Mbalizi Mbeya baada ya miaka mingi baadae aliamua kumpokea Bwana na Mwokozi wake ili awe kiongozi katika maisha yake na Mkewe.

Hii ni album ya kwanza ikiwa ni Audio na Video ikiwa ina nyimbo nane zote kali.

Waweza pata album hii katika maduka yote ya Cd's za Gospel Tanzania hii pia Katika Internet Cafe ya Allstartz Dar Es Salaam.Au kwa Distributer Mkubwa UMOJA AUDIOVISUAL (EA) LTD Dar Es Salaam.
Hii ni single iliyobeba album,inayokwenda kwa jina la "MIMI NA YESU"....Enjoy!!!!!

Monday, January 13, 2014

Karibuni wasomaji wetu katika Blog yenu hii.Leo katia mahusiano tumeona tuongelee Mambo14 yanayoweza mfanya mwanaume asiwenamuda nawewe Mwanamke.
Iko wazi kwamba mahusiano yanahitaji elimu,mahusiano yanahitaji uelewa sio unakurupuka tuu na kuamua kujiingiza kwenye mahusiano pasipokuwa nauelewa wowote nivizuri kuelewa zile keys muhimu za kukuwezesha wewe km binadamu kuweza kuishi na mwenza wako.
Tuanze kwa kuangazia point Yetu ya kwanza.
1.KUTOKU HESHIMU FAMILIA YAKO.
Najua wanawake wengi watashangaa sana kuhusu hii point ila niukweli kwamba mwanaume anaweza kuwa na wasiwasi mkubwa sana nawewe akijua huwaheshimu wazazi wako hasa mama yako.kama tujuavyo wanaume wengi wanawapenda sn mama zao nakuwaheshimu kwahiyo atashangaa sana kuona unazozana na mama yako kama unajijua unamzozo na mama yako nakushauri usizungumze naye mbele yake.

2.PICHA ZAKO ZOTE NIZA CLUBBING(sehemu za starehe) 
This screams the opposite of girlfriend/wife material. Embu fikiria mwenyewe mwanaume anatafuta mwanamke mwenye heshima afu siku anakaa nawewe anatizama picha zako afu anakuta picha zako zote umepiga uko maeneo ya starehe unakunywa,popping champagne,uko na watu mbalimbali mara mmeshikana viuno mmekumbatiana Hii itamfanya afikirie starehe kwako ndo kitu cha kwanza na muhimu mahusiano na mengineyo ndo hufuata ila kwako starehe ndo kila kitu.

3.UNAONGEA SANA KUHUSU EX WAKO(MTALAKA)
Hii huwapa wanaume wengi wengi wasiwasi nasio wasiwasi tuu huwakasirisha pia. Haiwezekani umekaa na mwanaume wako badala umsifie au uongelee kitu flani kuhusu yeye unaanza kujiachia kwakuongelee kuhusu uliyokuwa unafanyiwa na ex wako hapo utautibua mtima wake japo wengi hawatonesha kukwazika lakini ukweli ukipata nafasi yakuiona mioyo yao kwa muda huu nidhahiri utaona alivyokwazika. Sahau kuhusu ex wako na matendo yake kama ex wako alikuw akikunulia gauni huyu akakunulia viatu afu unaaza kumwambia yule alikuwa ananiletea full dresses utamuumiza sana km ulikubali kumpenda basi kubaliana naye kwakila hali badala ya kumtaja ex wako tumia njia nyingine mbadala ya kumuelezea next time akunulilie full dresses.
Sio nguo hata linapokuja suala la romance au sex ukiona ameperform tofauti na utakavyo au ulivyozoea tumia busara kumuelezea unavyotaka yeye akufanyie ukiona ningumu kumuamabia tafuta makala maalum kwenye magazeti au internet muite usome naye najua atakuelewa tuu.

4.HUJUI KUPIKA. 
Mwanamke mapishi bana asikudanganye mtu eti mwanamke uzuri wanaume hudata zaidi na mwanamke mwenye mautundu jikoni. Udhaifu mkubwa wa mwanaume ni chakula labda hilo ulikuwa hulijui leo ndo nikuambie ujue. siku moja tukiwa tumekaa na marafiki zangu tukipiga stori wengi walikiri kuwa hawataweza kuoana na mwanamke asiejua kupika. mmoja alisema "Hivi itakuwaje niwe namwanamke mzuri afu asijue kupika marafiki wakinitembelea wanakuta kituko juu ya mweza niafadhali awe na mvuto wa kawaida ila jikoni ajue maanjumati" Sasa niende kwenye point yenyewe kupika sio mpaka umepika pilau yenye harufu nzuri lahasha nilazima ujue upishi wakisasa nasio wakukariri ujue kucheza nasusfuria za jikoni kupika vyakulambalimbali sio umejitahidi kupika afu juu ya meza kunakuwepo na hotpot moja tuu la pilau nilazima kuwepo na hotpot zaidi ya moja wale waelewa najua washaelewa namaanisha nn.

5. HUJIAMNI 
Hii nipoint muhimu sana kutokujiamini kwa mwanaume wako kunaweza kumboa sana mwanume wako nilazima ujifunze kumuamini na wewe ujiamini sio kila saa unakuwa nawasiwasi na mashaka ukimuona yuko namarafiki wakike basi wewe full makelele na maneno ya chinichini,ukiona anacheka kwenye simu moyo umeshtuka,ukiona anaangaliwa na wengine unakosa raha unaanza kumhoji na kmbadilisha hivinahivi ilimradi tuu ww uwe na amani.jifunze kujiamini usije kuboa.

6. WATHAMANI
Nimeshindwa kupata point maalum ya kuweka hapa nikatumia neno wa thamani yani hapa nataka uelewe kuwa nivizuri kuwa mtu wakawaida uwapo na mpenzi wako sio unajifanya matawi ya juu kila muda lets assume mmepita mahali penye kiosiki akajisikia kununua chips hapo basi wewe unaanza kulalamika Jamani bby hizi chips sio chips twende pale hotelini tukanunue kwani yeye alipoamua kwenda kununua pale hakujua hiyo itamfanya ajue wewe sio mwanamke wa hali zote nilazima ukubaliane nahali zote.

7.HUJUI KUJITENGENEZEA
Hapa sizungumzii hujui kujiremba ama kuvaa bali nataka ujue yakuwa mwanaume huwanaaibu sana pindi waonapo wanawake wao wanaotembea nao hawajui kujipangilia kimwili na kimavazi. Mfano unakuta mwanaume kaja kukupitia muende out ile unatoka tuu umevaa kigauni kifupiii,High-heels nazo zinakupelekesha hutembei kwa amani,jicho umesimamisha mikope yako ya bandia,umechonga minyusi yako mpaka imetokeza kama unaendi igiza muvi ya kutisha,umejipiga ma makeup yasiyoeleweka. Nilazima ujifunze kuvaa na kujipangilia kwa mpangilio vaa vizuri. Hapo utajipa tiketi yakuachika mwenyeweeee.

8 UNANG'ANG'ANIA MAWASILIANO
Kwamfano mpenzi wako amekaa nusu siku hajakutext wala kukupigia basi wewe unantext hey are u dead??!! wanaume wengi hawapendi stress muulize kwa upole na tumia maneno mazuri kumuuliza kwann yuko kimya nasio unaropoka tuu.

9.MTU WA KUROPOKA
Mtu wakuropoka nimtu asiyekuwa na siri wanaume wengi hupendelea wanawake wanaojua kuhifadhi siri kama mmeongelea kitu chawawili basi kiwe cha wawili tuu sio unaleta zile za ushosti ukikutana wenzako unaanza kuwasimulia mliyoyafanya na kuwaelezea siri za jamaa. Akigundua unatabia hizo utakuwa katika wakati mgumu mno.

10.MTU WA KUPAYUKA(USIYENAHESHIMA)
Kama wewe nimwanamke unayependa kunguruma kwa mwanaume wako jua tabia hiyo sio nzuri wanaume wapendi kupayukiwa na kupandishiwa sauti.
Many men have a no-yelling rule. And if you break it just once, you’re out. Some guys have no tolerance for a woman with a temper, and yelling is the ultimate sign of losing yours.

11. MLEVI KUPITILIZA  
Unadani wanaume wanapenda wanawake walevi?? Hapana. Asilimia nyingi wanaume wengi hawapendi wanawake walevi hujanyimwa kunywa pombe ila nivibaya kulewa hadi kushindwa kujielewa unalewa hadi hujitambui hiyo tabia itamfanya ashindwe kuwa naamani naww hasa anapokuwa mbali naww anaanajua uko mahali unakunywa.

12.YOU HAVE A PROMISCUOUS PAST 
You never cheated on anyone, and you were always safe about your health, but you got around in your day. For some men, this is a no-go. It doesn’t matter how respectable and nice you are now; they just can’t handle a woman with a reputation like that.

13. YOU’RE NOT INTO PDA(Pathological demand avoidance)
Men like to set the pace on PDA. Even if they’re not really into it, they don’t like when a woman completely keeps her hands off them in public. They like to have the option for PDA, should the mood strike them. Having you set the pace makes them feel emasculated, and neglected.

14. YOU DON’T TAKE HIS SIDE IN PUBLIC 
It’s okay if you think what he just said is completely stupid, uneducated and juvenile. But you are not to say that in front of other people. If he backs himself into a wall, you go pry him out. You don’t line up with the others to laugh at him. Most men won’t stand for this.

Samahani tumechanganya na Lugha Ya Kiingereza ilikuweza kuweka maana nzuri na yenye maana fupi. 

TOA MAONI YAKO HAPO CHINI KAMA UMEFURAHIA TIPS HII
Kama ungependa kuzungumza na sisi au kushaurina kuhusu mahusiano au matatizo yeyote ya kimahusiano tuandikie kupitia email yetu gregoryucc@gmail.com

Saturday, January 11, 2014


Friday, January 10, 2014

iPhone 6 ConceptOn Jan. 9, during the 2007 Macworld convention in San Francisco, the now-deceased Apple Inc. (NASDAQ:AAPL) CEO Steve Jobs unveiled a new product that Apple had been developing for nearly three years. Introducing the device as a wide-screen iPod with touch controls, a mobile phone and an Internet communicator, Jobs told audiences that the iPhone would “reinvent the phone,” to the sound of thunderous applause.

Jobs poked fun at the then-nascent category of smartphones that could make calls, connect to the Internet and receive email but weren’t very easy to use and relied on QWERTY keyboards.
When Jobs showed off the iPhone, functions as simple as sliding the bar to unlock the iPhone or scrolling through bands in the music function drew “oohs” and “ahs” from the audience.
The rest, as they say, is history. The iPhone is now considered to have reshaped the entire smartphone industry and helped Apple become one of the most valuable companies in the world.
Seven generations later, iPhone is starting to see declining market share in the face of less-expensive devices from competitors like Samsung, LG and Motorola (owned by Google), but the Apple iPhone still dominates 53 percent of the smartphone market. The iPhone is the top-selling phone of all time in the U.S., Japan and other countries.
To commemorate the 7th anniversary of the iPhone, here is a look at how the iPhone has evolved over the years, and where it is predicted to go in the future.
1.       The iPhone – Released June 29, 2007
Original iPhoneThe original iPhone was revealed seven years ago today.  Wikipedia
The original iPhone was a GSM phone that established the form-factor that Apple has more or less stuck with over the years. The public was so amazed by the device, some nicknamed it the “Jesus phone.” Apple released the original iPhone in 4GB, 8GB and 16GB models.
2.       iPhone 3G – Released July 11, 2008
Apple iPhone 3GThe second generation of iPhone.  Google
With the second generation, Apple introduced Assisted GPS and 3G connection. The biggest improvement was with an updated iOS, which included Push email, turn-by-turn navigation and the App store, which introduced third-party applications.
3.       iPhone 3GS – Released June 19, 2009
Apple iPhone 3GSApple iPhone 3GS  Google
Apple gave the iPhone 3GS a faster processor and a higher-resolution camera that could capture 480p videos. Apple also added support for voice controls.
4.       iPhone 4 – Released June 24, 2010
Apple iPhone 4Apple iPhone 4  Google
The iPhone 4 was the first to feature the high-resolution “Retina display.” Apple also added a front-facing camera for video calls, and upgraded the rear-facing camera to 5 megapixels and 720p video capture. Apple also introduced a new design, replacing the rounded back panel with a flat surface, making the iPhone 4 the thinnest smartphone in the world at the time. The iPhone 4 featured a stainless-steel frame and the new A4 chip, which, along with iOS 4, helped the iPhone with multitasking functions.
5.       iPhone 4S – Released October 14, 2011
Apple iPhone 4SApple iPhone 4S  Google
With the fifth generation, Apple upgraded the camera once again, this time with 8 megapixels and 1080p video recording. Apple also upgraded the hardware to a dual-core A5 processor and introduced Siri. The release of 4S brought along iCloud, iMessage, Notification Center, Reminders and native integration with Twitter. The iPhone 4S was the first iPhone released after Jobs’ death.
6.       iPhone 5 – Released September 21, 2012
Apple iPhone 5Apple iPhone 5  Google
The iPhone 5 featured a new dual-core A6 chip and increased the size of the display up to four inches. Apple also replaced the 30-pin connector it had been using since before the original iPhone with a new, all-digital “Lightning” connector. The iPhone 5 was also given an aluminum frame, making the phone thinner and lighter than previous models. The iPhone 5 was also the first iPhone to feature LTE support.
7.       iPhone 5C and iPhone 5S – Released September 20, 2013
Apple iPhone 5SApple iPhone 5S  GoogleApple iPhone 5CApple iPhone 5C  Google
The seventh and most recent generation of the iPhone came in two different models. The iPhone 5C is mostly the same as the iPhone 5, but has a new backside-illuminated FaceTime camera and new body made out of polycarbonate.
The iPhone 5S maintained the same form-factor as the iPhone 5, but was given a new TouchID home button with fingerprint recognition technology. Apple also updated the camera with a larger aperture and dual-LED flash, and introduced the new A7 dual-core processor, making the iPhone 5S the first smartphone with a 64-bit processor. Apple also added the M7 processor into the iPhone to handle motion data.
8.       iPhone 6? – Coming Q3 2014?
iPhone 6 ConceptCould this be the future of iPhone?  Google
The Apple rumor mill is busy churning out any and all possible news about the next iPhone, which most believe will be called the iPhone 6. Many believe that iPhone 6 will feature a bigger screen, and that Apple is working on two models: a 4.7-inch screen and a 5.7-inch screen. Both models are likely to feature the fingerprint scanner from the iPhone 5S.
There are also rumors that the next iPhones will have curved-glass displays.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
© ALLSTARTZ.BLOGSPOT.COM 2012 - 2017 | ALL RIGHTS RESERVED | CODE + DESIGN BY: DMZ