• Instagram
  • Twitter
  • Facebook
  • Google+
  • RSS Feed
Showing posts with label ELIMU. Show all posts
Showing posts with label ELIMU. Show all posts

Monday, November 7, 2016

Habari za wakati huu rafiki yangu?
Ni imani yangu kwamba uko vizuri na unaendelea kuweka juhudi ili kuweza kufikia malengo yako uliyojiwekea kwa mwaka huu. Hili ndilo jambo la msingi sana kwako kufanya, endelea kuweka juhudi na hakuna kitakachoweza kukuzuia wewe kupata kile unachotaka.
Kuna kitu kimoja muhimu sana ambacho watu wengi huwa hawakielewi mapema. Kwa kushindwa kuelewa kitu hiki watu wamekuwa wanajikuta wakihangaika na mambo ambayo hayawezi kuwafikisha kule wanakotaka kufika. Kitu hiki ni chanzo kikuu cha mabadiliko kwenye maisha. Unafikiri mabadiliko ya kweli kwenye maisha yako yanatoka wapi? Yanatoka ndani yako au nje yako? umewahi kufikiria kwamba kama watu wangekuelewa basi ungefikia mafanikio? Au kufikiria kama mwajiri wako angekuwa mwelewa basi ungefika unakotaka? Kama na wewe umeshawahi kufikiria kama hivyo unajipoteza njia.

Watu wengi wamekuwa wakifikiri kwamba mabadiliko kwenye maisha yao yatakuja pale ambapo mazingira yao yatakapobadilika. Pale mwajiri, wateja, ndugu na hata uchumi utakapokuwa vizuri basi na wao watakuwa vizuri. Lakini ukweli ni kwamba hakuna mtu mwenye nguvu yoyote ya kubadili vitu hivi vya nje. Badala yake kila mmoja wetu ana nguvu ya kuibadili yeye mwenyewe. Hivyo mabadiliko ya kweli kwenye maisha yanaanza na mtu mwenyewe. Yanaanzia pale mtu anapojua ya kwamba anataka kubadili maisha yake na anachukua hatua kwa kuanzia ndani yake. Hata kama mazingira ya nje ni magumu kiasi gani, nia ya mabadiliko ikishaanzia ndani, hakuna kinachoweza kuizuia.

Leo tunakwenda kuangalia mazungumzo muhimu sana yanayoweza kubadili maisha yako kabisa. Wote tunajua nguvu ya mazungumzo mbalimbali ambayo tumekuwa tunafanya kwenye maisha yako. Unaweza kuomba ushauri na katika mazungumzo hayo ya ushauri ukajifunza mambo mengi sana. Unaweza kuhudhuria semina na kupitia mazungumzo hayo ya semina ukajifunza mengi na kuweza kubadili maisha yako. Lakini haya yote ni mazungumzo ya nje, ambayo nguvu yake haiwezi kufikia mazungumzo tutakayokwenda kuyajadili leo kupitia makala hii.
Mazungumzo muhimu yanayoweza kubadili maisha yako ni yale mazungumzo yako ya ndani. Yale mazungumzo unayofanya na wewe mwenyewe ni mazungumzo ambayo yana nguvu kubwa sana kwenye maisha yako.
Kabla hatujaenda mbele kwanza tukubaliane jambo hili moja muhimu, kila mtu ana mazungumzo na nafsi yake. Na siyo lazima yawe mazungumzo ambayo unaongea kwa sauti, bali katika mawazo yako kunakuwa na mazungumzo yanayoendelea mara zote. Wakati mwingine kunakuwa na ubishi mkali sana hasa pale unapohitaji kufanya maamuzi.

Kuna kauli ambazo umekua unajiambia wewe mwenyewe mara kwa mara. Kauli hizi inawezekana umezibeba kutoka kwenye jamii au ndivyo ulivyozoea kwenye maisha yako. Kauli hizi zina nguvu kubwa ya kubadili maisha yako au kuzuia mabadiliko kwenye maisha yako. Unaweza kuweka mipango mikubwa na mizuri sana, lakini kabla hujafika mbali mazungumzo kwenye mawazo yako yanaanza. Una uhakika utaweza? Umeshashindwa mengi kwa nini hili huwezi? Acha kujidanganya, huwezi kufikia hilo unalotaka. Kauli hizi zinaendelea hivi hatimaye unashindwa kabisa kuchukua hatua.
Wanasaikolojia wanasema ya kwamba sehemu kubwa ya kauli tunazojiambia sisi wenyewe ni kauli hasi. Ni kauli za kukatisha tamaa au kujiona kwamba huwezi au haiwezekani. Kwa jambo lolote ambalo mtu atataka kufanya, ni lazima mazungumzo haya, ambayo yapo upande hasi yataingia kwenye mawazo yake. Na kama mtu hajui jinsi ya kudhibiti mazungumzo yake, hawezi kuchukua hatua.

Jinsi ya kutumia mazungumzo haya vizuri.
Kwa kuwa mazungumzo haya unayofanya na nafsi yako ndiyo mazungumzo yenye nguvu kubwa kwenye maisha yako, na kwa kuwa mara nyingi mazungumzo tunayofanya na nafsi zetu ni hasi, tunahitaji kuwa na njia bora ya kuhakikisha tunatumia mazungumzo haya kwa faida yetu. Hapa tutaangalia njia za kuweza kutumia mazungumzo haya kukuwezesha kufika popote unapotaka kufika.

Kuwa na mazungumzo chanya muda wote.
Huu ndio msingi wa kuweza kudhibiti mazungumzo yako na kuyatumia kukufikisha unakotaka kufika. Unahitaji kutengeneza mazungumzo chanya muda wote. Kuwa chanya kwa kufikiria upande chanya wa mambo yote unayokutana nayo au unayokwenda kufanya. Changamoto ya kuwa chanya ni kwamba kwa jamii tunazoishi, hili ni jambo gumu kuweza kufikia. Tumezungukwa na watu wengi ambao ni hasi na kila kitu kinachotokea kinapewa tafsiri hasi. Hivyo akili zetu zimeshajijenga kwenye msingi wa hasi. Unahitaji kujiondoa kwenye hali hii haraka sana kwa kuangalia upande chanya wa jambo lolote. Katika kila jambo linalotokea au unalotaka kufanya, angalia upande chanya wa jambo hilo. Badala ya kufikiria kwa nini ni baya au haiwezekani, jilazimishe kufikiria kwa nini ni zuri au inawezekana. Kwa mabadiliko haya ya kufikiri pekee unaanza kuona picha tofauti na uliyokuwa unaona mwanzoni. 

Usipende kulalamika na kulaumu, badala yake chukua hatua.
Hakuna kitu hasi kwenye dunia hii kama kulalamika na kulaumu wengine. Kwa kulalamika na kulaumu maana yake unajiambia wewe huwezi kufanya makubwa bali wengine. Wale unaowalalamikia ndio unawapa majukumu ya maisha yako, mara zote utakapokutana na changamoto, hutakazana kuitatua wewe mwenyewe, badala yake utatafuta nani anaweza kuhusika. Kwa njia hii kila kitu utaona ni kigumu na hakiwezekani. Kuwa mtu wa kuchukua hatua, kama kuna kitu hukipeni kibadili, na kama huwezi kukibadili basi achana nacho.
 
Jiambie kauli chanya mara kwa mara.
Kwa kuwa mawazo hasi huwa yanakuja yenyewe kutokana na mazoea ambayo umeshajijengea, siyo rahisi kuondokana na mazungumzo haya hasi. Hapa unahitaji kutumia nguvu za ziada kuhakikisha unaondokana na mazungumzo haya hasi. Na unaweza kufanya hivyo kwa kujiambia kauli chanya mara kwa mara. Tengeneza kauli chanya za kujiambia kama hizi zifuatazo; NINAWEZA KUFANYA CHOCHOTE NINACHOAMUA KUFANYA, KILA SIKU NAZIDI KUWA BORA KWEYE KILE NINACHOFANYA, MAISHA YANGU NI JUKUMU LANGU. Tengeneza kauli itakayoendana na wewe kulingana na maisha yako na kile unachotaka kisha jiambie kauli hiyo angalau mara tatu kwa siku, unapoamka, mchana na kabla ya kulala. Jiambie kauli hiyo kwa sauti, kwa njia hii itaanza kutengeneza mazungumzo chanya kwenye mawazo yako.
 
Kuwa mtu wa kushukuru.
Katika mahusiano yetu na wengine, huwa tunaangalia zaidi upande hasi. Mtu anaweza kufanya mambo mazuri mengi sana, lakini akafanya jambo moja baya, tukasahau kabisa wema wake na kuangalia lile baya alilofanya. Hii ni njia inayotufanya tuendelee kuwa na mazungumzo hasi mara zote. Unahitaji kuwa mtu wa shukrani, mara zote tafuta jambo la kushukuru kwenye maisha yako na kwa wale wanaokuzunguka. Jilazimishe kupata kitu cha kushukuru kwenye hali yoyote unayopitia. Kwa kufanya hivi unajilazimisha kuwa na mazungumzo chanya ambayo yatakuwezesha kuziona fursa nyingi na nzuri.

Kila mmoja wetu huwa anakuwa na mazungumzo na nafsi yake, haya ni mazungumzo muhimu na yana mchango mkubwa kwenye maendeleo ya maisha yako. Yafanye mazungumzo haya kuwa chanya na mara zote utakuwa mtu wa kuziona fursa na kuzichukulia hatua. Jitengenezee kauli chanya, acha kulalamika na kuwa mtu wa shukrani. Ni mabadiliko madogo lakini yenye manufaa makubwa kwenye maisha yako.
Fanyia kazi hili ambalo umejifunza kwenye siku hii ya leo.  
 

Tuesday, September 6, 2016

Wanawake wengi warembo husalia peke yao na kufa katika hali hiyo kutokana na sababu tofauti. Wengi huwa na tabia za kuudhi hali ambayo huwafukuza wanaume walio na uwezo wa kuwaoa 
Umewahi kushangaa sababu za wanawake warembo zaidi kutoolewa? Kuna sababu tano ambazo huwafanya wanawake warembo kusalia wapweke.
Tabia mbaya-Wanawake kama hao huwa na tabia mbaya na kuhatarisha nafasi yao ya kupata mume. Wanaume wengi huwa hawapendezwi na tabia za aina hiyo hata mwanamke awe mrembo kiasi gani. Baadhi ya wanawake hao huwa na maringo sana, eti hawawezi kuosha nyumba kwa kuogopa kucha zao zisikatike. Wengine hawaju kupika na hawawezi kulea watoto kwa kuogopa kuchafuka.
Ghali kuwatunza– Wanawake warembo huwa ghali kuwatunza kwa sababu huwa na dhana kuwa wanafaa kupelekwa katika hoteli kubwa kubwa na maeneo yaliyo na bidhaa ghali. Huwa hawalegezi msimamo hasa kuhusu mahitaji yao na wanakotaka kwenda kununua bidhaa.
Wabinafsi na wenye chuki- Wanawake wa aina hiyo hufikiria dunia ni yao na kwamba wanafaa kuabudiwa na kila mwanamume. Wanaume wengi hupenda kuhusiana na wanawake wa aina hiyo, ambao huwadharau kutokana na kuwa “wanapendwa” na wanaume wengi.
Wasichojua ni kuwa wanaume huwatumia tu na kuwaacha kutokana na tabia zao ili kutafuta mwanamke mzuri wa kuoa.
Sababu tano za kutoolewa kwa wanawake warembo
Hawataki kuwa wazazi- Wanawake hao hupenda kusalia wakiwa wa kupendeza, hivyo huwa wanaogopa kuzaa wasipate mikunjo, wasinenepe au kuwa na matiti kulegea. Kwa kawaida, hakuna mwanamume anayependa kuoa mwanamke ambaye hawezi kumzalia, hasa kwa sababu ya utamaduni wa Kiafrika.

Friday, July 22, 2016

Business as usual is no longer usual the market has shifted and leadership now focuses more on “who leaders are” rather than “what they do” and so managing your Personal Brand needs to be a part of your marketing strategy to turn your click into an audience, community, tribe, followers, friends, favourites, likes and ratings so business just got personal…
What can people come to expect from a conversation, a blog post, a client or a co-worker as they learn what you’re all about?
Is your message congruent with you to inspire, convince, persuade and explain?

Your personal brand has many layers, each with a voice, style and ideas and so uncovering these layers will help you to identify those aspects of you (or at least the ones you’re willing to put out there).
What are your core values and personality traits? (A hint about the difference: A core value might be “trust” while a personality trait might be “quirky.”)
By identifying aspects of your very own personality, allows you to share them in context but knowing which ones you have is the question and it’s okay if some of these personalities are aspirational. (The person you aim to become).
Find the common threads in your stories, and how they remain the same even as other aspects of your personality change and evolve, BUT what doesn’t change for you? (There maybe overlaps).
Find a distinct pattern: one or two of your personalities may inspire and attract dream customers and maybe one or two reassure and delivers once the dream customer is interacting with you, or maybe one of your personalities is just about you – the reason you do the work that you do?
Which are the outward-facing aspects that would attract friends, readers, significant others, and potentially customers to you?
It’s time to let your personalities have their say. Every time you share content (That’s your blog posts, newsletters, reports, photos, tweets, and videos), think about which part of your personality you are highlighting – and what you want that content to do (attract / inspire or reassure / deliver).
Your personal brand is not set in stone, so it should flex and evolve with you. You will see how it all unfolds and connects over time, and if anything, just feel confident in the fact that what these personalities have in common is that they’re all at your table!! There is only one you and we are all complex so embrace who you are.
A personal brand is how you express yourself, it’s your internal self, your voice, perspective, ideas the way you express yourself through fashion, speech, art, and work – it’s really about connecting to your higher purpose and connecting to other people. Fashion and style is just the accessories that add to the outer packaging that further reinforces your authentic self.
Mentoring can be a transformative experience. Individuals develop work and life skills, businesses grow and families come closer together. But, these results are not exclusive to the mentee. Mentors also find deeper insights on life and leadership by embracing the role.
With the recent surge of interest in mentoring, particularly in business and among executives, there is an endless collection of articles, books and websites on the value of mentoring and how to be a mentor. But what makes a great mentor? YPO members (and mentors) share three fundamentals for mentoring success:
  • CREATE A SAFE SPACE
“As with all partnerships, mentoring only succeeds if both parties work at it, but it helps if the mentor makes it easy for the mentee to drive the process and achieve objectives,” offers Gerhard Van Der Horst, a member of the YPO Cape Town Chapter. “The best mentors learn to listen, assist the mentees to think for themselves and create the space for this to happen.”
Being an open, vulnerable and adaptive mentor lends itself to creating an environment of trust and security where the mentee can freely express and reflect. Creating a safe haven is key to a fruitful mentoring relationship.
  • LISTEN CONSCIOUSLY
“Conscious listening creates understanding,” says sound and listening expert Julian Treasure in his “Five Ways to Listen Better” TED Talk. This is a crucial part of effective mentoring — to really listen and understand.
Treasure’s guide to conscious listening includes the acronym RASA (the Sanskrit word for essence) — receives, appreciate, summarize, and ask— which echoes YPO forum protocol’s active listening model.
“A great mentor takes the time to learn about the mentee’s desires, skills and shortcomings to better help the mentee chart a path for success,” says Suzanne McKechnie Klahr, a member of the YPO Northern California Chapter.
“Mentorship is a one-on-one deeper forum experience where the shared experiences are the keys to a higher level of self-awareness,” reflects Themba Baloyi, a member of the YPO Pretoria Chapter.
“Developing active listening skills through a mentorship journey becomes a powerful force for personal change.” Richard Day, a member of the Cape Town Chapter and a mentor in the YPO Mentoring Program, explains that active listening and clarifying questions build strong relationships. “Asking the right questions helps to focus on the real issues,” Day says. “A mentor needs to try and separate the noise from the key issues.“
YPO (Young Presidents’ Organization) is a not-for-profit, global network of young chief executives connected through the shared mission of becoming Better Leaders Through Education and Idea Exchange

Wednesday, July 20, 2016

As natural disasters, terrorism, robberies and massacres made our planet a hell, everyone are in the urge to settle down in one of the safest places. But unfortunately when it comes to preparing a list of top 10 safest countries in the world, it becomes extremely hard to find such countries that satisfy all the criteria an individual has in mind.
So now, how would you picture a safest country? Is that the one which has
  • Low crime rate?
  • No natural disaster?
  • Low corruption?
  • Immunity to economical crisis?
  • Or is it fast solving cases?
It is nothing wrong, if you expect all the above factors from the typical countries that are entitled as “The safest countries in the world”. While the increasing high prevalent crimes make all of us lose hope on finding such countries, strict laws, culture and few good qualities continue to make few countries as perfect places to live, raise kids and happily retire. You are right ! We have exceptions in everything. That’s the universal law.
Source : The list, top 10 safest countries to live in the world is prepared based on the recent “Global Peace Index (GIP)” report released by “The Institute for Economics and Peace“.
How Global Peace Index Is Devised?
In an attempt to identifying the safest countries in the world, 162 independent states,covering nearly 99.5% of world’s population were considered. Countries are ranked based on the Global Peace Index Score (1 to 5) which is the median of 23 different metrics which include “violent crime levels,prison population, safety and security in society, weapons import & export, extent of domestic & international conflict, economic impact of violence,political instability and many more.Sources for these metrics are collected from highly respective resources like intergovernmental organizations. You can download the entire report from HERE.

10.CZECH REPUBLIC

GPI SCORE: 1.341

safest countries in the world
 Source: czechtourism.com
  • This fairly new European country attracts tourists from all over the world with its magnificent city “Prague” and its breathtaking nature.
  • It mainly concentrates on creating a most favorable climate for investment. As a result, It has a built a robust economy in a relatively short span of time (1989 to 2015). In 2009, HDI declared Czech Republic as “A Country With Very High Human Development“.
  • Rate of crime is very low here. Helpline number 112 is available for people who don’t know the local language.
  • If you are a U.S resident, you wouldn’t require any VISA to enter into this country for business or tourist purposes for the first 90 days. However, having a passport that is valid for at least 90 days beyond your period of stay is mandatory.
  • Cost of living in this country is much cheaper. For example: Though Prague is located at the center of culture and all other main spots ( historical spots, palaces,museum etc.), apartments here cost much lesser than in any other European nations.
  • Transportation system of Czech Republic is so punctual and well managed. You can take a month around public transit pass with just $29 USD. It can be utilized in tram, subway and buses.
  • When it comes to entertainment, here everyone will find something according to their age, gender,and ethnic preferences. So in no way, anyone can feel bored at this country.
  • If you love outdoors, without any doubt, you will love the Czech Republic too. Situated at the border of mountains, it has so many well preserved deep forests. If it’s summer, you can go hiking or just cycle around the countryside. If it’s winter, there is downhill skiing is awaiting for you.

                                      9.AUSTRALIA

GPI SCORE: 1.329

safest countries in the world
  • Whether you want to spend your retirement days or want to bring up your children in a much peaceful and happy environment, Australia certainly be a suggestible choice.
  • People of this country are more welcoming, and they enjoy the multiculturalism. Equalitarianism, Ideal climate, and outdoor pursuits are few of the many factors that attract expats from all over the world.
  • Australians respect the value of friends and family more than anything. It provides a broad range of schooling options, and there are more chances for children to spend their time in recreational outdoors. These all factors often make it as a perfect place to raise children.
  • Australia is being the most desirable destination for young students and professionals all over the world.
  • It offers a high quality of life and excellent healthcare facilities to its all citizens through both private and public systems.
  • In short, Australia offers a fair new beginning for anyone who has skills and energy. It is one of the main reasons for why people adore Australia than any other country in the world.



8.JAPAN

GPI SCORE : 1.322

safest country in the world
  • The next country in our list of safest places to live in the world is Japan. The Crime rate in this country is really low.
  • Japanese respect their culture, and it is one of the main reasons as to why people honor this country. I am sure you must have heard how well disciplined Japanese are and therefore, they will never involve in activities, which brings shame to their country.
  • Possession of firearms is strictly prohibited according to their laws. Firm gun control, strict laws and wealthy economy make sure that the one living there is 100% safe.
  • According to the 2010 GPI (Global Peace Index) framed by IEP (Institute for Economics and Peace) report, Japan has also been ranked as the 3rdpeaceful country in the world.
  • With homicides, terrorism and violent crimes highly unlikely in Japan, this place becomes extremely safe for one to reside.

                                        7.CANADA

GPI SCORE: 1.287

safest country in the world
  • Canada is the 2nd largest country in the world and its 20.6% of total population is built only with foreigners. Not to mention, it is claimed to have the highest immigrants rate per capita in the world. Though this factor alone is more than enough to claim it as the safest country in the world, it has a lot more. Read on.
  • Healthcare system of Canada is one of the most debated hot topics worldwide. It offers “universal public health Insurance” to all citizens and permanent residents at much cheaper prices. By using this Medicare, one can have access to the universally high standard treatments at both private and public hospitals.
  • This system has inspired many people who suffer from chronic conditions move to this country for healthcare purposes. Anyhow, people with temporary residency can’t avail the same benefits.
  • When it comes to employment, it offers an enormous scope with many open positions in energy sectors, communications industry, real estate and financial services.
  • Though winter of Canada covers the ground with freezing cold for more than 6 months, people who settled here claim that their quality of life has been improved dramatically.
  • So, if you have the plan to visit or migrate to this country, you can expect to have a calm, peaceful and high-quality life.
  • Canada has never been a target of the terrorist activities. These all make this country be listed as one of the most livable countries in the world.



6.FINLAND

GPI SCORE: 1.227

safest countries in the world
  • Being one of the Nordic-style countries, Finland is mainly known for its high regard for the civil liberty, democracy, and human rights.
  • With low crime rate, nature-friendly environments, and stable economy, it never fails to rank high in all the lists that talk about the national performance metrics. (Side note: Finland is ranked as the 11th best country to live in the world in our official list).
  • Since the end of world war -II, the government of Finland has adopted the neutrality policy and so avoided the wars. Most common punishments given to the people who involve in crimes are probation, fines and community services.
  • Although people of Finland are perceived as the quiet & reserved nature people, the young Finns has changed this perception completely. Anyhow, If you move to Finland, it may take few months to       get adopted with their cultural differences.
  • In Finland, the majority of healthcare services are managed by the local municipalities itself and are offered to the general public through local healthcare centers.
  • The literacy rate in Finland is 100%. It is achieved by providing the compulsory education to all its citizens and expats who have got residency in Finland. Almost all major cities in Finland have excellent quality local and international schools.
  •                                              5.SWITZERLAND

GPI SCORE: 1.275

safest countries in the world
  • Switzerland has four official languages and is divided into 26 independent states known as cantons. Each one of them has their own laws and regulations.
  • Switzerland’s well-functioning government is renowned for keeping the violence, political issues and the unemployment rate at a record low.
  • Its robust economy and strict laws continue to attract the highly skilled International investors to this country. It’s home to the world’s most famous banking Institutions and businesses. In fact, one third of total Switzerland population is made of people who have born outside of this country.
  • Besides to the diversities found among the local population, Switzerland welcomes the outsiders with open arms. Not only their chocolates are sweet but also the people here are sweet enough to give you the pleasurable experience.
  • The transportation system of Switzerland is punctual by seconds. They value time!.
  • Not to mention, bustling cities, diplomatic relationship it has with the neighboring countries, low crime rate, strong economy everything makes this country rank higher on the list of most peaceful countries in the world.
  •                                              4.NEW ZEALAND

GPI SCORE: 1.221

safest countries in the world
  • Global Corruption monitoring entity, Transparency International‘s recent report says, New Zealand is “The country with the most transparent political status“.
  • New Zealanders are leading a very satisfied life with their calm and easy going nature. Generally these people want keep themselves free from community strife and personal violence. Its strict laws and tough punishments are yet another reasons for their low crime rate.
  • Cities of New Zealand are culturally rich and are worth visiting. Grandiose mountains, green meadows, frozen glaciers all these wonders decorate this Island like a heaven on earth.
  • In 2013, Corruption Perception Index ranked New Zealand as the “Least corrupted country in the world“. Unlike in other countries, here you can expect the government officials to do their job without charging any extra cash. Collecting the hidden or unadvertised fee on goods and services is considered as illegal here.
  • Since it boasts the safe and secure environment, you can freely move around, explore the bush, climb mountains, play, picnic, catch the public transports, discover the beaches or enjoy anything to your heart’s content without any fear.



3.AUSTRIA

GPI SCORE: 1.198

safest countries in the world
  • By providing the high level of security and peacefulness, this country continues to rank in all the lists boasting the “safest countries and best countries” in the recent years.
  • Population of this country is low, and it possesses a rich folk culture. Cities are clean, mostly covered with the snow covered Alps.
  • Austria is popularly known as “The land of Music“. It has produced many timeless musicians to the world.
  • Austria is one of the most scenic and richest countries in the world. Its ever growing tourism sector contributes greatly to this country’s economy. Expats who move to Austria looking for jobs in the tourism industry are sure to be successful. Other areas of employment include research and engineering.
  • To help the locals and tourists easily move around the places, Austria maintains a well managed Integrated public transportation systems. Railways connect the major cities while the bus routes connect most of the smaller towns with major rail networks.
  • Everyone can enjoy down skiing during the winter. You can get all necessary kits for ski sports for both experts and beginners. 
  •                                                              2.DENMARK

GPI SCORE : 1.150

safest country in the world
  • Despite being a small country, at a certain point of time, Denmark had faced many serious issues due to crime and terrorism. However, it has successfully tackled all those problems and today it proudly stands on the list of safest countries in the world.
  • Starting from the year 2012, Denmark regularly reserves its spot on the list of the happiest country too.
  • Denmark is comprised of more than 400 small islands, and it is well known for offering equal opportunities and individual freedom. The gap between that exist among the higher officials, and floor workers are remarkably low than in all other countries.
  • Government of Denmark is keener on the concept of internationalization that makes this country as one of the most popular destinations for expats.
  • Since Danish and Swedish languages are closely related to each other, it wouldn’t be a big surprise to see a Dane and Swede conversing so happily in their own tongue. English is taught as the compulsory second language in secondary schools. So almost all people here can speak it well.
  • Irrespective of its small size, Denmark has many things to offer in terms of outdoor, sports, coastline and culture.



1.ICELAND

 GPI SCORE: 1.148

 safest countries in the world
 If you ask what is the most peaceful country in the world, your answer lies here. By securing the Best Global Peace Index Score 1.148, Iceland wins the title of the most peaceful country in the world in 2015.
  • This country is well known for its frosty climate, impressive attractions, glaciers, hot springs, and of course for the crime rate.
  • Iceland does not have any standing army. Instead, it has the rescue teams moving around. Even the pettiest crimes like pickpocket, wallet snatching are nonexistent in this country.
  • According to the “Global Study on Homicide,”, Iceland’s homicide rate has never exceeded over8 per 100,000 to date.
  • Icelanders love the peaceful state of their country more than anything else. For example, in 2013 when police force killed a man, the whole nation gathered and grieved like losing a member in their own family.
  • Iceland is a country with full of continuous volcanoes eruptions. So are you are interested in seeing the volcano eruptions? Pack your bags to this safest country in the world. Don’t worry. Peaceful ride is guaranteed!.
Information we have provided on these safest countries to live in the world is still in the expansion phase. We are looking for the “residents and expat experts” to help us improve this post. Do you have anything to say? Please drop your comments in the comment section.

Wednesday, June 8, 2016

Unaweza Jifunza kitu kikubwa ukimaliza kuangalia Video hii!! kutoka kwa Mchungaji Apostle Maboya

Wednesday, March 30, 2016

"Chukua muda wako wa kufikiri na kutafakari,na wakati ukifika fanya ulilopanga"

Hili ni somo kubwa kukumbuka wakati tuko katika vita ya nafsi yako wenyewe; wakati tunajua nini tunapaswa kufanya lakini tunashindwa kufanya.

Labda tunaliweka mbali kwa saa. Labda kwa siku. Na inaweza hata kuwa wiki . Lakini hatukufanya kwa wakati.

Kusitasita kunaweza kuwa ndio nyenzo kubwa inayokumaliza na kukukandamiza.ingawa kuna watu walioweza kuishinda nafsi yao ya kusita na kufanya mambo yakafanikiwa na kuwa mazuri.Je walifanikiwa kivipi?

Hizi ndizo Nguzo Tano(5) ambazo wengi waliofanikiwa huzitumia.

1.Wanatambua thamani ya Muda wao waliochelewa.
    Wengi hudhani katika kila wafanyalo wanataka lilete  matokeo ya papo kwa papo jambo ambalo si kweli.

    Wengi waliofanikiwa hufurahia matunda yao na huweza kufanya jambo ambalo hutumia mudawao mwingi kulijua na     kulifanya kwa uhakika.Hufanya kazi inayoonekana ni kubwa kwa Tathmini na baadae kuonekana kuwa Ndogo          kimuonekano ambapo hufurahia mafanikio hayo mapema na mara kwa mara.”Mafanikio huja kwa kufanya,na sio          Matokeo”

Anza kujipongeza kwa Uvumilivu.Furahia mafanikio yako kwa Uvumilivu wa kila ufanyalo.Itakusaidia kupunguza mambo mengi uliopanga kuyafanya na kufanya kila jambo kwa wakati.

 2.Hujali zaidi Muda wao wa kila siku. 
Unadhani shughuli itakuchukua masaa matatu kukamilika,lakini huna mpangilio wa swala hilo kulimaliza kwa masaa hayo matatu.Unataka kuliacha hadi hapo baadae utakapokuwa na muda wa ziada.

Wakati shughuli hiyo isingekuchukua masaa matatu bali Saa moja na nusu tu.Watu makini huanza katika muda walionao na huendelea mpaka hapo wanapofanikisha.
Huogopa kuangukia katika kundi la watu wavivu,ingawaje inaweza kuwachukua muda wao wote kufanya wafanyalo na kulijua vizuri,huchukua muda wao wanaokuwa nao hata muda wa baadae katika swala moja hata watakapolifanikisha.Na hilo ndilo lengo lao.

3.Hufanya katika umakini wa hali ya juu na kwa ufanisi mkubwa.
Ni kweli ufanisi na umakini kwa kila tulifanyalo huleta matunda mazuri.watu ambao hufanya tufanye kazi kwa ufanisi mkubwa na umakini ni MARAFIKI WAZURI na sio tu MARAFIKI.Umakini hukaa katika mawazo yako na kukufanya ujione unalofanya sio kwamba linakutosheleza bali utataka kufanya zaidi navizuri.Utakufanya kila ufanyalo kuonekana gumu zaidi ya linavyotakiwa kufanywa ili lifanikiwe.
Acha kuwa mpinzani wa nafsi yako.Hutakiwi kufanya kazi mbaya usiyoipenda,ili kuzuia hili jipe moyo kwa kila ufanyalo na kuamini litafanikiwa.

4.Ni wazuri na makini katika kupangilia.
Je unadharau kidogo na kutaka makubwa?Hili ni jaribu kubwa,kwasababu linakupa ujasiri wa kutaka kufanya makubwa na mengi wakati mudawako haujafika.Acha kuwa na mpangilio wa kufanya mambo mengi kwa wakati mchache.
Ingawa kwa watu Makini huwa tofauti,
Watu makini hupendelea kulichukua Jambo kubwa na Gumu,Jambo Muhimu huanza kwanza katika kila Mambo yao.

5.Hawajipingi wenyewe,wala kujikatisha Tamaa.
Mambo mengi ambayo wengi hujiuliza ni kwamba,Itakuwaje wakishindwa baada ya kujaribu kufanya jambo fulani au shughuli fulani,Je Bosi wake atamchukia?Itakuwaje ikimchukua mudawake wote katika kufanya Jambo moja?
Watu makini huondoa uoga wa kufanya jambo gumu  na uoga wa  kushindwa pia kama “Roger Babson” alivyosema “Keep in mind that neither success nor failure is ever final.”
Usiweke uoga wako wa kushindwa kwa mambo au shughuli ulizopanga kufanya,zaidi zaidi tilia mkazo na utafanikiwa.

Tuesday, March 8, 2016

SHULE BILA ADA: KILIMO NDIO UNGA MPYA!
Laki tano, Mshahara wa Ma-Teller wa Benki hapa mjini Laki Tano, Bei ya TECNO PHANTOM mpya kabisa kwa kujishau Snapchat na Istagram Laki Tano, Bajeti ya Mafuta ya SUBARU mwezi Mzima.... Laki Tano , Bajeti ya HEINEKEN 100 KWA wanywaji wa Pombe... HELA FLANI MBUZI TU ambayo wengi wanaona HAINA ISHU .

Lakini , Laki Tano hii ina uwezo wa kukodi shamba Ekari 13 pale Kiteto au Mpwapwa na ikakutengenezea Million 15 baada ya Miezi MITATU kwa kulima Matikiti maji.

Laki Tano hii hii ina uwezo wa kununua SIMTANK la lita 5000 ( ndoo 250 za lita 20) ambal inaweza kutumika kusolve shida ya maji mtaani kwako kwa kuuza ndoo 1 Sh 500 na ukaingiza 125,000 kwa kila SIMTANK unalouza.

Laki tano hii hii inaweza kulima Ekari 2 za Maharage pale Simanjiro na baada ya Miezi Minne ukavuna si chini ya Million 3 ambazo zitaexpand kilimo chako MARA 6 zaidi ya Mwanzo na Kuexpand Kipato chako mara 6 zaidi ya Mkupuo wa kwanza!
Laki Tano hii ina uwezo wa kulima Matikiti Maji Ekari 2 na zikakupa si chini ya Milion 2 na nusu baada ya SIKU 90!

SHIDA NI: Kila mtu anataka akae mjini AONEKANE SAMAKI SAMAKI, aonekane Muvi Mlimani City, Apost akiwa Escape 1, Apige Snapchat akiwa 777 ... Kila mtu anataka aonekane MDARISALAMA... Yuko mjini

MDADA yupo radhi aishi mjini kwa kuuza mwili wake kuliko kwenda Ruaha Mbuyuni Kuinvest kulima Vitunguu... Ataonyesha saa ngapi CROP TOP yake Mpya kutoka YAHYA BOUTIQUE? Sistaduu alime vitunguu?? Hapana, bora atafute Danga la Laki 2 akalale nalo!!

Big Up kwa wadada wote wajanja WALIOINVEST KWENYE KILIMO., kila Jumamosi wakati wewe unaona sifa kwenda HIGH SPIRIT LOUNGE Wadada wenzako wako RUVU wamekodi mashamba wanalima mpunga, unashangaa Huyu mdada anafanya nini kumbe mwenzio analima.

KUDOS kwa wanaume wenzangu ambao wamegundua siri kwamba kuuza Sura hakulipi na wameinvest Shamba, kila weekend wanapotea kwenda kusimamia nyanya na pilipili Bagamoyo.

Utaendelea kuwashangaa wenzio wanatajirika na kudhani kila mtu anauza UNGA hapa mjini, Kilimo ndio unga mpya... nnadhani @mkandamizaji amenuunua ile BMW X6 kwa episode za ORIJINO COMEDY? Thubutu, nenda MBARARI umkute amejaa Matope akipalilia Mpunga wake ndo utajua na wewe kwa nini unapanda Bajaji mpaka leo na kubaki kulalamika tu.
ujasiliamali
Na; Joseph Mayagila, AJTC
Kwanini unapanga kufanya biashara hiyo? Au Kwanini unafanya biashara hiyo unayoifanya? Je ulikuwa umepanga kufanya biashara hiyo au umejikuta tu unafanya biashara hiyo kwasababu ya ugumu wa maisha au kwasababu huna namna nyingine? Zipo sababu mbalimbali zinazosababisha watu kufanya biashara wanazofanya. Ila katika kanuni za uchumi, ni vema unapochagua biashara uzingatie vigezo vifuatavyo:
ujaasil
Kigezo cha kwanza ni manufaa linganishi. Manufaa linganishi ni uwezo, ama ubora, au umahiri au upekee ulionao wewe kwaajiri ya kufanya biashara ya aina furani kwa umahiri zaidi ukilinganishwa na wafanyabiashara wengine ambao wanafanya biashara kama hiyo au watakaofanya biashara kama yako hapo baadaye.
Tuchukulie kwa mfano watu wawili wanaoishi maeneo tofauti wamepata taarifa kuwa bei ya mchicha imepanda thamani katika soko la dunia. Kati ya watu hao wawili mmoja anaishi Tanzania, na mwingine anaishi Zambia.
Mazingira ya mtu anayeishi Tanzania ni kwamba Tanzania kuna udongo wenye rutuba, kuna mito ya maji mwaka mzima, kuna mvua za kutosha, hali ya hewa ni nzuri, na sehemu kubwa ya nchi mazao yake hayahitaji mbolea. Hali hii ya Tanzania si kwamba labda kuna mtu aliileta, bali ni hali ya asili tangu enzi za mababu na mababu.Watanzania wote tumezaliwa tukaikuta ikiwa hivyo. Yaani ni urithi wa asili.
Na kwa upande wa Zambia, hali ya mazingira ya huko ni kwamba kuna mawe mawe, hakuna udongo laini unaofaa kwa kulima, nchi ile ni kame, mvua hakuna, kama unataka kulima lazima ununue kifusi cha udongo ili ukimwage shambani. Zambia hakuna mito inayotiririka maji mwaka mzima. Hali hii ya Zambia si kwamba labda wamelaaniwa, la hasha, bali ni mazingira yao ya asili ambayo Wazambia wote wameyakuta tangu mababu na mababu.
Iwapo Mtanzania na Mzambia wataamua kutendea kazi habari ya soko la mchicha Ulaya, mwisho wa siku wote watalima mchicha. Mtanzania atatumia gharama kidogo kulima bustani za mchicha kwa kuwa maji yapo, udongo mzuri upo,na hali ya hewa iko vizuri kuliko mzambia. Kwa hiyo inawezekana kwamba ili mtanzania apate faida ya shilingi elfu nne kwa fungu nmoja, atauza fungu moja la mchicha kwa shilingi elfu 5.
wajasiri
Lakini Mzambia kutokana na mazingira yake ambayo yanasababisha gharama za uzalishaji kuwa juu ili apate faida ya shilingi elfu nne kwa kila fungu itabidi auze fungu moja la mchicha kwa shilingi elfu 30. Je kati ya hawa wawili nani mwenye uwezekano wa kufanikiwa kibiashara sokoni? Wataalam wanasema if you have no a competitive advantage don’t compete, because the . world does not pay for average!
Ni kweli kwamba Mtanzania ana nafasi kubwa ya kufanikiwa kibiashara, na Mzambia ananafasi kubwa ya kufilisika
Hii ni kwasababu Mtanzania anayo manufaa linganishi ya kufanya biashara kiasili kuliko Mzambia. Mzambia naye anatakiwa atafute manufaa linganishi katika mazingira yake hayo ya kiasili ili na yeye apate biashara ya kufanya. Labda inaweza ikawa ni biashara ya kuchimba madini aina mbalimbali, au kuuza kokoto na kutengeneza barabara za rami, au kuanzisha viwanda vya sementi. Manufaa linganishi kwa lugha nyingine ni wito wa kufanikiwa kiuchumi.
SONY DSC
Je wito wako wa kufanikiwa kiuchumi ni nini?
Wito wa kufanikiwa kiuchumi ni hali au uwezo wako wa asili uliozaliwa nao wa kufanya jambo furani kwa ubora zaidi ya watu wengine. Unafanya jambo hilo vizuri si kwasasabu labda una akili kuliko watu wengine, bali ni kwasababu unauwezo wa kiasili katika kufanya jambo hilo. Mbwa kiasili anauwezo wa kubweka ili kutishia watu kuliko mbuzi. Kwa hiyo mbwa akipata mafunzo ya ULINZI, anaweza akawa askari mahiri kuliko mbuzi akisomea ulinzi. JE WEWE UNA ASILI YA KUFANIKIWA KATIKA KUFANYA BIASHARA GANI?
TAFAKALI YANGU KATIKA MAKALA HII
1. CHANGAMOTO KUBWA NI KUBUNI BIASHARA AMBAYO HANA ASILI NAYO, KISHA UNABAKI KUSHANGAA KWANINI MAMBO HAYAENDI.
2. NADHANI NI MUDA MUAFAKA KWAMBA MWANAFUNZI ANAPOMALIZA DARASA LA SABA AWE TAYARI ANAJUA ASILI YA MAFANIKIO YAKE NI KATIKA KUFANYA MAMBO GANI DUNIANI. ILI ANAPOENDELEA NA MASOMO AJIKITE KUSOMEA KITU AMBACHO KINAKUZA ASILI YAKE YA KUFANIKIWA. ELIMU NI KUKUZA UWEZO TULIONAO NA SI KUTULETEA UWEZO AMBAO HATUNA!
3. HIVI MBUZI AKIFUNDISHWA KUFANYA KAZI ZA UWINDAJI KAMA ZA SIMBA, MASOMO HAYO YATAMFAA AKIPATA MWALIMU MZURI?

Thursday, January 7, 2016

Biashara huanza na wazo linalotokana na ndoto au shauku. Mathalani vijana wengi wanapenda kuwa na vitu vya


 thamani kama magari ambavyo kwa mshahara hawawezi kuvipata. Kama una ndoto ya kuwa na vitu vya 

thamani sharti ufikirie kuanzisha biashara ili kuongeza mapato. Wazo la biashara huzaa ubunifu ambao hufanya

 biashara unayotaka itokee.Ukiwa na wazo la biashara basi tafuta taarifa zitakazokuwezesha kufanya maamuzi

 sahihi. Ni vizuri wazo liwe ndani ya kitu unachokipenda na unakiweza. 


Baadhi ya taarifa muhimu ambazo unapaswa kuzitafuta ni, je biashara unayoifikiria inahitajika? Uhitaji wa

 huduma/bidhaa unagusa kundi gani la watu? Kundi hilo linaguswa kwa kiasi gani? Gharama za kuanzisha

 biashara? Je mahitaji ya wateja yatatatulika? Na je walengwa wana uwezo wa kulipia? Taarifa hizi unaweza 

kuzipata kwa kuuliza wanaofanya biashara kama hiyo, kuangalia hali halisi, kusoma maandiko, kupata ushauri

 wa kitaalam, na vyanzo vingine. Mbinu nyingine ambazo unaweza kuzitumia kupata wazo la zuri la biashara ni 

kwa kujiunga vilabu au vikundi vya kimaendeleo, kuhudhuria semina na mikutano. MTAJI WA KUANZIA

 BIASHARA Kuanza biashara kunahitaji mtaji kulingana na aina na kiwango cha biashara unachotaka kuanzia.

 Mtaji huo utatumika katika mambo mengi yakiwemo kuanzisha biashara yenyewe, kulipia pango na usajili. 

Hata hivyo mtaji hutoka katika vyanzo vingi lakini chanzo muhimu ni akiba binafsi au kukopa kutoka kwa ndugu

 au familia au mkopo. Hata hivyo inashauriwa usitumie mkopo wa benki kuanzishia biashara bali tumia mkopo

 kuendeleza biashara. Hivyo basi ni vizuri kwa anayetaka kuingia kwenye ujasiriamali kuanza kujiwekea akiba. 

Njia ni nyingi mno za kupata mtaji. ENEO LA BIASHARA Baada ya kuhusu wazo lako la biashara sasa ni wakati

 wa kutafuta eneo la biashara ambalo lazima liwe ni rahisi kumwelekeza mtu, linafikika kiurahisi, kuna 

mwingiliano wa watu, na kuwa na uwezekano wa kubandika bango la biashara yako. KUANDIKISHA BIASHARA 

Kabla ya kuanza biashara, sharti isajiliwe kwa mujibu wa sheria za nchi. Jina la Biashara Biashara sharti iwe na 

jina na inaweza kuandikishwa kama ya mtu mmoja, kampuni, ushirika au ubia. Kama biashara yako itakuwa ya 

mtu mmoja (sole proprietorship) itakupasa kufuata utaratibu huu:-

(1) Chagua jina la biashara 

(2) Andika barua kwa Mkurugenzi wa BRELA ukiomba kuangaliziwa jina ulilochagua kama halijasajili na mwingine (kwa sasa unaweza kuangalia mwenyewe kutoka tovuti: www.brela-tz.org),

(3) Baada ya jina kupita jaza fomu nambari 2 na 3 ambazo unaweza kuzipata toka tovuti ya BRELA

(4) Lipia ada ya usajili ya Sh. 6,000/= 

(5) wasilisha fomu na baada ya siku chache utapatiwa hati ya usajili. 

Kama unataka kusajili kampuni yenye ukomo (Limited Liability) itakulazimu kuzingatia yafuatayo:- 

(1) Kampuni lazima iwe na watu si chini ya 2 na wasizidi 50 

(2) hakikisha jina la kampuni utakalopendekeza liwe halijawahi kutumika katika tovuti ya BRELA: www.brela-tz.org 

(3) Andaa hati ya makubaliano (MEMARTs)

(4) Jaza fomu nambari 14a na 14b

(5) Hakikisha MEMARTs na fomu 14b zimesainiwa na wakili au mwanasheria

(6) Lipia gharama za usajili kulingana na mtaji unaoanza nao, 

(7) Wasilisha maombi yako na hati ya usajili itatolewa baada ya muda mfupi. 

JISAJILI KAMA MLIPA KODI (TIN NUMBER) Mfanyabiashara pia anapaswa kujisajili mamlaka ya kodi – TRA. Ili kujisajili unapaswa kuzingatia yafuatayo:-

(1) uwe na hati ya usajili

(2) uthibitisho wa eneo la biashara. LESENI YA BIASHARA

 Biashara zote lazima ziwe na leseni na vibali maalum ambazo hutolewa na ofisi za biashara za halmashauri ya

 Manispaa au Wilaya ya eneo la biashara yako. Baada ya kupata leseni na vibali toka maamlaka husika 

unaweza sasa kuanza biashara yako.




Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
© ALLSTARTZ.BLOGSPOT.COM 2012 - 2017 | ALL RIGHTS RESERVED | CODE + DESIGN BY: DMZ