Unakumbuka kuna story flani zilitoka kuwa mtu mzima Ali kiba soo atakuwa
 chini ya Sonny Music kama mwanadada Keko kutoka Uganda, sasa fununu 
nilizonazo ni kuwa jamaa kasha saini mkataba na Sonny.. na hii ni relese
 yake mpya na trust me kwa nilivyoisikiliza lazima ibambe.
sikiliza hapo chini kitu kinaitwa "my everything "







No comments:
Post a Comment