Baada ya Nay wa Mitego kuwachana wasanii kibao akiwemo Dj.Choka,Shetta, na wengine kibao katika nyimbo yake ya SHIKA ADABU YAKO msanii Kimbunga Mchawi amjibu kwa Single hii NIMCHANE huku akimchana Ney kuwa ameishiwa mashairi na kuamua kuwachana wasanii wenzake kwa Kejeli.
Sikiliza hapa kutoka katika Link hii.
Sikiliza hapa kutoka katika Link hii.
No comments:
Post a Comment