• Instagram
  • Twitter
  • Facebook
  • Google+
  • RSS Feed

Wednesday, October 10, 2012

HUU NDIO MUONEKANO MPYA WA MSANII C-MADINI (SiSa) NA UTAMBULISHO WA SINGLE YAKE MPYA

No comments:
 






Hii ni ngoma ya 3 kwa C-sir Madini kuachia, baada ya KIFUNGO HURU iliyotoka kama single ya kwanza mwaka jana, iliyofuatiwa na NISHIKE MKONO aliyoitoa mwezi January mwaka huu 2012.
Idea ya wimbo huu, title na lyrics zote zimeandikwa na kidbwoy, na zina base katika chembechembe za true story zinazomhusu muandishi wa wimbo huu.

Maana ya wimbo huu ni kwamba, C-sir amepata kitulizo cha moyo wake ulioumizwa na mpenzi alietangulia, hivyo baada ya kumpata mtu alieamini kuwa ndio tulizo la moyo wake, huyo ndio akawa Pain Killer yake, lakini ni tofauti na pain killer zote unazozifahamu ambazo mara nyingi huwa zina uchungu wakati wa kumeza. Tofauti ya Pain Killer ya C-sir na Pain Killer za maumivu ya kichwa ni kuwa hii ni "PAIN KILLER/TAMTAM", licha ya kumtibu lakini bado ni tamu.




“PAIN KILLER” Lyrics by C-SIR MADINI (SISA)
Written by: Kid bwoy
Produced by: Kid bwoy
Tetemesha Records, 2012

Intro:
We ndo ma painkiller
Ooh ma ma ma ma, oooh
Tam tam oooh, yako tam tam
Tam tam oooh, yako tam tam

Verse 1:
Mwanzo aliniona kwenye twitter, kabla jina sijalipata,
Kifungo huru ilimvuta, nishike mkono ikafata,             
Ana sifa nyingi kaumbika, sauti ka mtoto amepita,
Top ten yama miss wa bongo, namba moja ashaipata,

Bridge :
Nikikatiza nae kitaa watu wote ndalile, oooh wanabaki ooooh,
Usijaribu fata hii asali yangu ndalile, oooh utalia oooooh,x 2

Chorus:
Ye ndo pain killer yangu, moyo hauna utata,
Yeye ndo tekila yangu, siogopi ukata,
Ye ndo medulla yangu, stress zikinikamata,
Ye ndo cellular yangu, nilipo utamkutaaa,
Aiyaa taiyaaaa, aaaaaaaah x2

Verse 2:
Kama ni nguo ye si mtumba kipya kinyemi wadananda ndo mjue,  hai
Tena nitafuga mbwa nshaweka fensi wadoezi msinijue, hai
Kama ni nguo ye si mtumba kipya kinyemi wadananda ndo mjue, 
Tena nitafuga mbwa nshaweka fensi wadoezi msinijue,
Una create attention, attention lazima watupishe, hai
Unawaongezea tention, tension lazima watupishe, hai
Una create attention, attention lazima watupishe,
Unawaongezea tention, tension lazima watupishe,
Bridge :
Nikikatiza nae kitaa watu wote ndalile, oooh wanabaki ooooh,
Usijaribu fata hii asali yangu ndalile, oooh utalia oooooh,x 2

Chorus:
Ye ndo pain killer yangu, moyo hauna utata,
Yeye ndo tekila yangu, siogopi ukata,
Ye ndo medulla yangu, stress zikinikamata,
Ye ndo cellular yangu, nilipo utamkutaaa,
Aiyaa taiyaaaa, aaaaaaaah x2

Verse 3:
We ndo ma pain killer, aaaaaaah
We ndo ma heart desire, aaaaaaaah

Pilipili pili yako tam tam ooooh, yako tam tam
pili pili yako tam tam ooooh, yako tam tam
Nyanya chungu yako tam tam ooooh, yako tam tam
Nyanya chungu yako tam tam ooooh, yako tam tam x2

Chorus:
Ye ndo pain killer yangu, moyo hauna utata,
Yeye ndo tekila yangu, siogopi ukata,
Ye ndo medulla yangu, stress zikinikamata,
Ye ndo cellular yangu, nilipo utamkutaaa,
Aiyaa taiyaaaa, aaaaaaaah x2

Outro:
Tam tam oooh, C-sir Madini
Tam tam oooh, Tetemesha
Tam tam ooh, yako tam tam
Da nda da da nda da danda da da nda da
Da nda da da nda da danda da da nda da, uuh
Da nda da da nda da danda da da nda da, uuh
Da nda da da nda da danda da da nda da...
Aaaaaaaah aaaaaaah aaaaaaah


Arist Nick name: C-SIR MADINI (Sisa)
Real Name: PETER MPONEJA
Birthdate: 07th may 1992
New release: PAIN KILLER
Written by: Kid bwoy
Produced by: Kid bwoy
Studio: Tetemesha Records

C-sir madini's mobile nos:

CLICK HERE TO LISTEN/DOWNLOAD!!!!


No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
© ALLSTARTZ.BLOGSPOT.COM 2012 - 2017 | ALL RIGHTS RESERVED | CODE + DESIGN BY: DMZ