• Instagram
  • Twitter
  • Facebook
  • Google+
  • RSS Feed

Thursday, October 18, 2012

SIKILIZA NA DOWNLOAD; NAVIO FT AY ,PAPITO,INOSS B ,MARTHA SMALLZ - ONE & ONLY RMX.

No comments:
 
Navio
Unakumbuka story kuhusu Navio kufanya collabo na wasani wa Kenya na Tanzania kwenye remix ya wimbo wake wa One and Only aliotaka uwe kwa lugha ya kiswahili. Well Napenda ufahamu kuwa imekamilika remix hio na wasani walio chaguliwa ni AY kutoka Tanzania , Papito, Inoss B na Martha Smallz.Mwanzoni Navio alishindwa kuchagua afanye collabo na Sungura aka Rabbit au Msanii wa Calif Records`Mejja'. Mwishoni ilibidi iwe wasanii tofauti kabisa na wasio tegemewa kuwa kwenye wimbo huo.
Source  |   Sammisago

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
© ALLSTARTZ.BLOGSPOT.COM 2012 - 2017 | ALL RIGHTS RESERVED | CODE + DESIGN BY: DMZ