M-Rap toka B'hitz Music Group Tz, baada ya DESTINY aja na Balaa jengine. Ni muda sasa toka kuachia ngoma yake chini ya Ulinzi mkali wa Pancho Latino na Hermy B, M-Rap amesema wakati wowote kuanzia sasa atakuja na ATTENTION ambayo amempa shavu tena mkali toka B'hitz "DEDDY"."Usiniuzie cheni feki ntakupa pesa ya bandia|ukijidai unanisntch ntajifanya sijakuskia. Poa yataingilia kushoto afu ntayatolea kulia|huwezi ukajiua kwa kubana pumzi yako, heheeee UTAUMIA ..
Unaweza kuMfollow kwenye Twitter @MrapLion
kuwa wa kwanza kuisikiza hapa hapa..






No comments:
Post a Comment