• Instagram
  • Twitter
  • Facebook
  • Google+
  • RSS Feed

Tuesday, June 2, 2015

No comments:
 
A picture shows the feet of a new-born at the maternity of the Argenteuil hospital, in a Paris suburb, on July 22, 2013.  AFP PHOTO / FRED DUFOUR        (Photo credit should read FRED DUFOUR/AFP/Getty Images)
Kama imekupita Hekaheka ya leo MAY 02 2015 inahusu mwanamke mmoja ambaye amesema kwamba mume wake alikuwa anamdai kila siku mtoto.. akaamua aingie Hospitali ya Mwananyamala kwenye wodi ya Wajawazito, akajifanya na yeye ni mjamzito.
Baada ya kukaa kwa muda wanawake wenzake walimshtukia alikuwa kwenye pilika pilika za kutaka kuiba mtoto, walipopeleleza wakajua kwamba hakuwa mjamzito na alikuwa na mpango wa kuiba mtoto.. ishu ikafika Polisi na kwa sasa bado kesi iko mikononi mwao.
Geah Habib anaifuatilia hii na tutasikia zaidi kuhusu ishu hiyo kwenye Hekaheka zinazofuatia.. kilichosimuliwa leo kiko kwenye hii sauti hapa. Audio

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
© ALLSTARTZ.BLOGSPOT.COM 2012 - 2017 | ALL RIGHTS RESERVED | CODE + DESIGN BY: DMZ