J-lo kama anavyojulikana alipanda jukwaani ili kushiriki katika tamasha la muziki la Mawazine huku vyombo vya habari vya serikali vikitaja utendaji wake kama wa hali ya juu.
Lakini malalamishi yalianza baada ya J-lo kuonyeshwa katika runinga huku wito wa kujiuzulu kwa waziri huyo ukitolewa.
Hatahivyo waziri huyo amekataa kujiuzulu.






No comments:
Post a Comment