Jux vuitton ni moja kati ya wasanii wanaofanya vizuri hapa bongo hata nje
Bongo land pia tunafahamu kwamba msanii huyu kwasasa yuko nchini
China na tumeona anafanya vitu vizuri vya muziki kwa ajili ya mashabiki wake sasa bhana
habari nyingine ambayo tumeipata ni kwamba mtu mzima Jux baada ya kuhusishwa katika collabo na
chief racka huko nchini
China.Sasa amefanya video yake mpya ambayo inakwenda kwa jina la
"NI SOO"na hapo chini ndiyo dzain mtu mzima Jux yupo na Queen wa video ya Ni soo wakiwa katika uandaaji wa video hiyo mpya.
No comments:
Post a Comment