Madam Ritha akitoa maoni yake juu ya mshiriki aliyekua juu ya jukwaa
Jumapili ya tarehe 15, October 2012 mshiriki mmoja wa EBSS, Linias Mhaya
aliyaaga mashindano na hivyo kubaki washiriki tisa tu.
aliyaaga mashindano na hivyo kubaki washiriki tisa tu.
Washiriki tisa waliobakia wamegawanywa katika makundi matatu na kila Jaji kapewa washiriki
watatu watakaokuwa chini ya usimamizi wake, majaji wanatakiwa kuwapa
maelekezo kuhusu kuimba na kuwachagulia nyimbo za kuimba.
watatu watakaokuwa chini ya usimamizi wake, majaji wanatakiwa kuwapa
maelekezo kuhusu kuimba na kuwachagulia nyimbo za kuimba.
Godfrey Kato akiingia katika jukwaa
Husna Nassor akiimba jukwaani
Menynah Atick akiimba mbele ya majaji na watazamaji
No comments:
Post a Comment