• Instagram
  • Twitter
  • Facebook
  • Google+
  • RSS Feed

Monday, October 15, 2012

Maelfu wauaga mwili wa aliyekuwa kamanda wa polisi Mwanza Liberatus Barlow

No comments:
 


 Maelefu ya wananchi wa Mwanza wakiwa wamefurika katika uwanja wa Nyamagani jijini Mwanza leo kuuaga mwili wa aliyekuwa kamanda wa Polisi mkoa huo aliyeuwawa kwa kuopigwa risasi majuzi Hayati Liberatus Barlow. Mwili huo umesafirishwa kuelekea Dar es salaam ambako ataagwa na ndugu, jamaa na marafiki nyumbani kwa marehemu Ukonga kabla ya kusafirishwa kuelekea Moshi kwa mazishi.
 Jeneza lenye mwili wa Hayati Kamanda Liberatus Barlow
Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Mwanza mjini wa zamani Mhe Lawrence Masha akitoa heshima zake za mwisho kwa Kamanda Barlow.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
© ALLSTARTZ.BLOGSPOT.COM 2012 - 2017 | ALL RIGHTS RESERVED | CODE + DESIGN BY: DMZ